Hanari.
Natafuta mwanamke mwenye umri kuanzia miaka 40 na kuendelea ambaye atakuwa mke wangu. Awe mkristo na mwenye upendo. Pia asiye na familia kwa maana asiwe na mtoto.
Ni PM namba Yako kama upo serious
Wakuu habari zenu. Nina sh 6m naulizia mwenye Toyota crown royal saloon anauza ameichoka aweke picha na namba ya simu tufanye biashara
Au kama hata mwenye Mark X aweke namba
Asante
Habari zenu. Kwanza naandika kuuliza hili swali nikiwa mpya katika masuala ya siasa. Hivyo mnaponipatia majibu naombeni kuzodoana na kejeli na kukashifiana viwe pembeni. Tunaelimishana tu
Kati ya act na chadema Kipi ndio chama kikuu Cha upinzani maana Kila redio kwenye taarifa za habari...
Kuna haja gani ya kukashifiana, kama Kuna mahali nimeqcha au sijaweka jambo vizuri si uweke maoni Yako tutaelewa tu, Kuna haja gani ya kukashifu? Hauoni unakosea? Au na wewe una changamoto ya afya ya akili? Nadhani ndio hivyo. Pole
Ukiamgalia comment na mtu anavyojenga hoja unajua hapa kuna changamoto ya afya ya akili.
Ukimjengea DC nyumba ya chini sio ghorofa ya sh 80m mi sidhani Kuna ubaya. Ubaya unakuja unamjengea DC nyumba ghorofa ya sh m800 hii sio sahihi kama Ile nyumba ya mkuu wa wilaya iliyoungua wilaya 1 dsm...
Habari zenu. Hivi karibuni nilikwenda mkoa wa Ruvuma na nikapita karibu na makazi ya mkuu wa mkoa nikashangaa sana namna pesa zetu za Kodi zinavyofanya viongozi wetu waishi kifahari.
Kama Kuna mtu ashawahi piga picha au anazo picha za makazi mbalombali ya wakuu wetu wa mikoa atupie humu tuone...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.