ARGAN MARA
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 1,135
- 2,940
Ukiamgalia comment na mtu anavyojenga hoja unajua hapa kuna changamoto ya afya ya akili.Wa Tanzania wengi uelewa wa mambo bado hatuna tunaishi kwenye fikra za kale sana. Tuhitaji kuwa exposed na maisha ya sasa yalivyo na tutafute fursa za kujiendeleza kiuchumi na kifikra. Imagine mtu hapa anamsema RC/RAS/DC/DAS nyumba wanazoishi kisa yeye hana uwezo wa kujenga hiyo nyumba au inayokaribiana na hiyo kwa kigezo zimejengwa kwa kodi zetu. SMH!
Ulitaka wakae kwenye nyumba za topeHabari zenu. Hivi karibuni nilikwenda mkoa wa Ruvuma na nikapita karibu na makazi ya mkuu wa mkoa nikashangaa sana namna pesa zetu za Kodi zinavyofanya viongozi wetu waishi kifahari.
Kama Kuna mtu ashawahi piga picha au anazo picha za makazi mbalombali ya wakuu wetu wa mikoa atupie humu tuone jinsi Kodi zetu zinavyoliwa na wapenda ufahari
Bashite anaishi Gran Melia hotelHabari zenu. Hivi karibuni nilikwenda mkoa wa Ruvuma na nikapita karibu na makazi ya mkuu wa mkoa nikashangaa sana namna pesa zetu za Kodi zinavyofanya viongozi wetu waishi kifahari.
Kama Kuna mtu ashawahi piga picha au anazo picha za makazi mbalombali ya wakuu wetu wa mikoa atupie humu tuone jinsi Kodi zetu zinavyoliwa na wapenda ufahari
Sorry upo mzima kweli?Habari zenu. Hivi karibuni nilikwenda mkoa wa Ruvuma na nikapita karibu na makazi ya mkuu wa mkoa nikashangaa sana namna pesa zetu za Kodi zinavyofanya viongozi wetu waishi kifahari.
Kama Kuna mtu ashawahi piga picha au anazo picha za makazi mbalombali ya wakuu wetu wa mikoa atupie humu tuone jinsi Kodi zetu zinavyoliwa na wapenda ufahari
Anatutega huu mtego hapana aiseeMbona wewe hujatupia Sasa?
![]()
Jibu sahihi ni ndiyo,watumishi wengine wa Umma wanazo hizo fursa?Nyumba za wakuu wa mikoa au wakuu wa wilaya ni Ikulu ndogo,na inapotokea pia viongozi wakuu wa nchi wanapopita hayo maeneo kikazi na ikawalazimu kulala huwa wanatumia hizo nyumba kwahiyo zinatakiwa kuwa na hadhi inayokubalika,au ulitaka wakifika kule walale guest House mkuu...!
Kuna haja gani ya kukashifiana, kama Kuna mahali nimeqcha au sijaweka jambo vizuri si uweke maoni Yako tutaelewa tu, Kuna haja gani ya kukashifu? Hauoni unakosea? Au na wewe una changamoto ya afya ya akili? Nadhani ndio hivyo. PoleSorry upo mzima kweli?
sasa bila kapicha hata kamoja tutajadiri niniHabari zenu. Hivi karibuni nilikwenda mkoa wa Ruvuma na nikapita karibu na makazi ya mkuu wa mkoa nikashangaa sana namna pesa zetu za Kodi zinavyofanya viongozi wetu waishi kifahari.
Kama Kuna mtu ashawahi piga picha au anazo picha za makazi mbalombali ya wakuu wetu wa mikoa atupie humu tuone jinsi Kodi zetu zinavyoliwa na wapenda ufahari
Ungejua wanakolalaga hao viongozi wakiwa ziara mikoani usingeandika hiyo sentensi ya mwisho.Nyumba za wakuu wa mikoa au wakuu wa wilaya ni Ikulu ndogo,na inapotokea pia viongozi wakuu wa nchi wanapopita hayo maeneo kikazi na ikawalazimu kulala huwa wanatumia hizo nyumba kwahiyo zinatakiwa kuwa na hadhi inayokubalika,au ulitaka wakifika kule walale guest House mkuu...!
Wajenge zao mbona wabunge wanajenga zaoWa Tanzania wengi uelewa wa mambo bado hatuna tunaishi kwenye fikra za kale sana. Tuhitaji kuwa exposed na maisha ya sasa yalivyo na tutafute fursa za kujiendeleza kiuchumi na kifikra. Imagine mtu hapa anamsema RC/RAS/DC/DAS nyumba wanazoishi kisa yeye hana uwezo wa kujenga hiyo nyumba au inayokaribiana na hiyo kwa kigezo zimejengwa kwa kodi zetu. SMH!
Panabidi pawevizuri maana hata mkuu Wa nchi anawezafikiahapoHabari zenu. Hivi karibuni nilikwenda mkoa wa Ruvuma na nikapita karibu na makazi ya mkuu wa mkoa nikashangaa sana namna pesa zetu za Kodi zinavyofanya viongozi wetu waishi kifahari.
Kama Kuna mtu ashawahi piga picha au anazo picha za makazi mbalombali ya wakuu wetu wa mikoa atupie humu tuone jinsi Kodi zetu zinavyoliwa na wapenda ufahari