Hatimaye wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi imefanya mapitio ya walimu waliohitimu mafunzo ya shahada na kugundua kuwa kuna baadhi yao waliachwa kimakosa huku wakiwa na somo la kufundishia sekondari. hivyo basi kwa walimu wote waliosoma (bed---) na wenye somo mmojawapo la kufundishia sekondari...
Ukisoma habari hii kwa makin utagundua kuwa naibu waziri anayeongelewa hapa ni yule wa wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi bwana philip mulugo. soma paragraph ya mwisho kwenye habari hii ili upate kuujua ukweli wa mhusika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.