Recent content by mtriples

  1. M

    Fatma Karume, kubali umeteleza

    Kusoma sheria za kidunia ni sawa na bure,Hata wanyama hawafanyiani hivi huyu mama yaonekana hata madrasa hakupita.Ingawa Unguja kuna wanazuoni wengi.Aina ya watu kama huyu mama ni bure kabisa I wish I could be President ningefuta kabisa vyeti vyake vya sheria.
  2. M

    Serikali yatoa kanuni za Mifuko ya Jamii iliyounganishwa

    Jasho la mtu halipotei bure tutawashitaki kwa Mungu atawanyoosha tuu
  3. M

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Boresheni system ya ATM pesa inayogoma kutoka kwenye machine iwe yarudu automatically kwenye account isiwe mpaka mtu ajaze claiming form
  4. M

    Tujadili faida na hasara ya kulipa kodi ya nyumba kwa kila mwezi na kwa miezi 6 au mwaka

    Sukari imewashinda mpaka leo bei juu!sasa mnakuja na mambo ya nyumba za watu mliwasaidia kuzijenga?Hii ni nchi yetu sote tusiwekeane sheria za ajabu ajabu.
  5. M

    KESI YA MAUAJI: Utetezi wa Elizabeth Michael (Lulu) ndani ya mahakama kuu

    Huyo marehemu ana kesi ya kujibu kwa kumlala mtoto mdogo
  6. M

    Wazuri Mkuu: Serikali bado inawatafuta wauaji halisi wa Kibiti

    Angalia tarauti jino kwa jino pia ipo
  7. M

    Nawezaje kuchukua michango yangu kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii?

    Hao SSRA wana sheria mbili au moja mbona PPE hawatoi NSSF wanatoa?Hii nchi ni ya ajabu sana.
  8. M

    Hoja za Mh Tundu Lissu kuhusu mifuko ya jamii na fao la kujitoa

    Lissu yuko sawa asilimia mia,hao wabunge pesa zao wachukue baada ya miaka mitano sisi wakwawachina ajira za mwaka na nusu mpaka tufike miaka sitini jee hii ni halali kweli?Naamini hiki kitakua kipindi kibovu kabisa katika nchi hii kama fao hili litatolewa.
  9. M

    Mhe. Rais, kuzuia Fao la Kujitoa madhara yake ni zaidi ya tetemeko!

    Watafute njia nyingine ya kuanzishia viwanda sio hii ya kuchukua pesa zetu.Watu tunafanya kazi ambazo si za kudumu mfumo wa ajira hapa nchini haumpi mwajiriwa nafasi ya kufika miaka 55.Kwa wanaofanya kazi kwa wahindi migodini nk wataungana na mimi.Hili suala linaonyesha ni jinsi gani viongozi wa...
Back
Top Bottom