Recent content by mtowisa

  1. M

    JamiiForums Tanzania Hii ni sehemu maalumu kwa ajili yako msomaji uweze kutoa ushuhuda wako jinsi Yesu amekuokoa,amekusaidia,amekuponya..amekutendea mema,matendo makuu

    Ushuhuda wangu namshukuru sana Mungu alieniokoa sikuwahi kujua ipo siku nitalala bila kufanya uzinzi.Nilikua mzinzi wa chini chini mwangaliaji wa pono mchezaji wa miziki ya dance isiyo na maadili nilikua najificha nakwenda kanisani ila matendo yangu najua mwenyewe.ilifika siku nikachoka maana...
  2. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukweli na Hoja isiyojadiliwa:- Financially, Ndoa zinaumiza sanaa wanaume

    Haiku bahati yako.asie bahati habahatiki
  3. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukweli na Hoja isiyojadiliwa:- Financially, Ndoa zinaumiza sanaa wanaume

    Kwani hao wanaume wa kuwachezea mnawapata wapi wenzetu.Mimi ninavohangaika na maisha nifanye Kila kitu nwenyewe nitoe mtaji Kila mwaka mwanaume apate na wala asione nastahili kuona faida.kusoma hataki kujiendeleza hataki.akiwa kitu hataki hasemi.Nikapanga kumsomesha Marekani akagoma kwenda jamani
  4. M

    JamiiForums Tanzania Ila jamani nchi yetu ni masikini, khaa

    Mkoa ambao nauelewa na watu wake wameelimika kuhusu mazingira na makazi ni Kilimanjaro.Wachaga nawaheshimu kwa hilo.Makabila yote yajifunze kwa wenzetu wanapenda vitu vizuri.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Canada yapiga marufuku uhamiaji holela

    Huyu jamaaa sijui kama papers zitapona sababu ukiomba asylum Canada hairuhusiwi kwenda huko ulikotoka.Nigerians wanachofanya wanaomba asylum ila wanakwenda nchi ya jirani lets say Ghana.kutoka Ghana kuingia Nigeria anatumia passport ya Nigeria.Labda na yeye katumia njia hiyo
  6. M

    JamiiForums Tanzania Huko ughaibuni ni kweli watu wanaishi kwenye magari kwasababu kodi ya pango ni kubwa

    Hata mimi nilikua najiuliza maswali kama haya inakuaje nchi yenye uchumi mkubwa kuna watu homeless.Mimi mtanzania siwezi kua homeless kwanza nina kwangu kwa wazazi na kwa bibi huko kote nina haki ya kuta nyumbani na nikienda napokelewa.Nilipofika ughaibuni nikagundua homeless wengi wazawa ni wa...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Mchango wa harusi sio deni. Usipange bajeti zako kwenye mifuko ya wenzako

    Mi nadhani ianze kwa mwenye sherehe, beba sherehe yako mwenyewe kama una milioni inatosha kufanya sherehe.baada ya hapo hutajiona una deni kuwachangia wengine.wengi wanachanga kwa sababu na wao walichangiwa.Wengi wanachanga kwa kujifariji na yeye atachangiwa.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

    Ila unatakiwa uwe na admission kwenye vyuo walivoingia navyo mkataba
  9. M

    JamiiForums Tanzania Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

    https://www.mpowerfinancing.com/?utm_campaign=elle-search-branded-explore-nonusca&utm_source=google&utm_medium=cpc&gad_source=1&gclid=CjwKCAjwxLKxBhA7EiwAXO0R0Cb2ZH4PkSyNLQtMdRngHd8ZNrdXIwqF3v65Cu6-nKYLcraZp84cHxoC-RsQAvD_BwE
  10. M

    JamiiForums Tanzania Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

    Lusungo Hili ni deni naamini nitalilipa
  11. M

    JamiiForums Tanzania Tumshauri kijana huyu cha kufanya, muda bado upo

    Kama ni kurudi kijijini vijiji viko vingi sana Tanzania ukisogea vijiji vya mbalali kuanzia mwezi wa kwanza mpaka wa tatu hukosi laki tatu kwa mwezi na zaidi cha msingi usiwe mvivu.piga kazi huko mashambani watu wanaweka CPA zao mfukoni elimu kichwani
  12. M

    JamiiForums Tanzania Ulichoma mtaji mara ngapi mpaka kuja kutoboa kibiashara?

    Jipe angalau miaka 10 ,usirukeruke kama kitenesi unajaribu aina nyingine ya biashara kila baada ya miaka 2 hapo sahau kutoboa.komaa na biashara moja tena sio 10 hiyo min jipe hata 20 yrs.
Back
Top Bottom