ndio maana MUNGU hakumwacha masaa yote alipigwa na wale wauwaji tena sio mkenya ni watanzania wenzake km angekuwa mkenya Dr angejua matamshi yao maana kiswahili chao kinajulikana bana
Usoni nakuchekea,Moyoni nimeshakupangia watu kukupeleka Mwabe,km likibumburuka nitaunda tume yangu ya uchunguzi, kisha nitasafiri kwenda kuonana na kupiga picha na 50 cent nikirudi nitawaagiza mahakama watoe hukumu yao halafu vyombo vya habari haswa TBC itawatangazia.halafu mtafunga midomo yenu
jamani huko mwabepande inawezekana kuna mafuvu mengi sana na mifupa ya watu,hii ya Dr Ulimboka ni MUNGU amependa sana kumweka hai ili DR aelezee mateso na ukatili wa serikali hii, ni damu nyingi sana zimemwagwa huku Mwabepande jamani.Ikiwezekana kukafanyiwe uchunguzi huku msitu wa pande.Kwann...
hiyo avatar yako tu inatupa picha kamili wewe ni mmojawapo wa walimteka dr;wakina mangi huwa wanatafuta pesa kwa jasho wewe umeamua shortcut kujiingiza huku.pepo we umeshinda fia kuzumu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.