Recent content by mtotowamamanjungu

  1. M

    Mambosasa: Kilichopelekea mwanafunzi wa UDSM akamatwe ni kusambaza uzushi mtandaoni

    Sijawai kukutana na mtu alionga upuuzi kama huyu bwana
  2. M

    Waziri Mwakyembe na BASATA ongezeni umakini. Msanii Young Dee anawazidi akili na anachochea ujinga

    Yeye kakukaribisha ulaya ila ukitaka unaweza enda Singapore pale singida, Geneva pale Arusha Iraq pale Iringa.. Bongo ni nickname ya Dar es salaam sio Tanzania..
  3. M

    Tetesi: Edward Lowassa na Frederick Sumaye mbioni kurejea CCM

    Lowassa kaivuruga chadema? Mimi nasema Hapana.. Ila kunauwezekano kaivuruga familia yako
  4. M

    Makonda: Fedha zote za matibabu ya bure kwenye meli katoa Rais Magufuli

    Anafiiii.... Sina maana iyo (anafiicha ukweli)
  5. M

    Anayeweza kutibu pumu kwa njia ya mitishamba

    Ni kifupi cha PUMU... [emoji1] [emoji1] Mengine tuwaachie wenyewe
  6. M

    Ulishawahi kukutana na mmasai ambaye ni muislam?

    Kwa gharama zozote niko tayari kwenda kumuona uyo masai muislam mwenye msikiti kabisa.. Isiwe tu nje na Africa mashariki apo ntakua sina uwezo
  7. M

    Kapotelea wapi Mbunge wa Musoma Vijijini (CCM) Mh. Nimrod Mkono?

    Muulizeni Nahreel wa navykenzo mana ndie baba ake mzazi
Back
Top Bottom