Recent content by MTOTO YA ARUSHA

  1. M

    Haloteli Mkombozi wa Kweli Kwa Watumia Mtandao,Hongereni Sana!!

    Kaka speed na muda wa speeed inatokana na kifurushi ulichoweka. Huwezi stream mpira kwa MB200 mpaka ukaisha na kwa speed hiyo hiyo. Hebu jiunge kile kifurushi cha 18gb uone kama hujakesha mpaka asubuhi
  2. M

    Haloteli Mkombozi wa Kweli Kwa Watumia Mtandao,Hongereni Sana!!

    *148*66# utapewa choice za kutosha. Unliimited MB800 kwa siku kwa 999 Tshs. Na GB18 kuanzia saa 5 hadi 12 asubuhi kwa 1500 shindwa mwenyewe. Vifurushi vya kupiga simu mitandao yote ndo usiseme
  3. M

    Haloteli Mkombozi wa Kweli Kwa Watumia Mtandao,Hongereni Sana!!

    Doesn't matter. Kwakuwa ilipo wanafanya yao na yao yanatugusa wadau
  4. M

    Haloteli Mkombozi wa Kweli Kwa Watumia Mtandao,Hongereni Sana!!

    Ukweli nikwamba kwa speed wanatisha. Kwa Bundle za Usiku Packs wako pouwa sana kuliko hata hao zantel waliokuwa wanakimbiza. Tatizo la halotel nililoliona kwenye vifurushi vya data ni Computer system yao kudata wakati fulani fulani. As in mimi najiunga data ya unlimited wanashindwa kuniletea...
  5. M

    Anataka vitu alivyonihonga nimrudishie eti.

    :A S 576:Inasikitisha saana kuona hata sasa kijana mwenye uwezo wa kufanya kazi anaweka uhai wake, utu wake na ujana wake rehani kisha kufanya kiuno chake kuwa ajira. Kimsingi angekuwa ni mpenzio hukupaswa kurudisha kwani zawadi hazina refund. Lakini kwakuwa ulihongwa kwa matumizi ya kumridhisha...
  6. M

    Mnyika Kwishney, awasilisha ushahidi mwepesi na kwa sasa asubiri huruma ya spika tu

    NADHANI ULE USEMI WA KALE UNASEMA HIVI "TOA KWANZA BORITI KWENYE JICHO LAKO, NDIPO UTAONA KIBANZI KWENYE JICHO LA MWENZAKO" Ukiwa kama mwana harakati kijana na unayetafuta njia YOU CANT AFFORD TO DO MISTAKES, YO DO NOT HAVE THE LUXURY OF PETTY MISTAKES!! Gud Day
  7. M

    Soko la SIDO (Mwanjelwa - MBEYA) linateketea kwa moto sasa hivi

    Ghasia za Mwanjelwa Mbeya katika video – Maskani ya uchambuzi yakinifu
Back
Top Bottom