Chadema na ukawa Kutangaza nia kwenye kata majimbo yanayongizwa na CCM ruksa sasa je mbona kwenye uraisi hawatangazi au Raisi ni UKAWA? Wanachama was chadema na ukawa wanaperekeshwa kama magari mabovu kweri mijitu imeshikwa akiri wewe unayejita mwanachama wa chadema tangaza nia ya kugombea...
Ngeleja kama wabunge wengine anastahili kuomba na kupewa ela kwajiri ya jimbo lake mbona hata serikari yenyewe inaomba nje,hata CHADEMA wanaomba pesa ujerumani au wanafanyaga harambee pale Serena na kwingineko kutafuta pesa za kufanyia harakati sasa kwanini wakifanya wabunge inaonekana...
Wewe unamatatizo yani hujui umuimu wa mchango wa ngeleja kwenye hi nchi,haswa alianzisha manunuzi ya mafuta kwa pamoja kufuta sheria kandamizi ya madini kuanzisha mrad Mkubwa wa gesi umeme vijijini Hivi kweri hujui haya au unajitowa akiri kusudi.
Ngeleja angendelea kuwepo kwenye nafasi yake ya uwaziri had Leo asilimia zaid ya 50% ya vijiji vya Tanzania vingeshawekewa umeme ,Ngeleja ni mchapakazi sana.
Hongeleni wazee wa sengerema kwa kujua ukweri Ngeleja ni kijana mchapakazi, jasiri,muwazi nanimcha mungu sana ,watanzania tunalijua hilo ,mungu azidi kumpigania Ngeleja.
Mawazo yako mafupi kama maisha ya funza kwani kuna Mtu special kuwa raisi? Ngeleja uwezo wake Mkubwa sana hauwezi kuyumbishwa napropaganda za wasakatonge kama wewe unayetumiwa kama dekio.
Wewe kioju hujui nini unazungumza au hujui nini unafanya Ngeleja amesaidia chama chake cha CCM kimepata 83% dhid ya17% za CDM richa ya kashfa za kinafiki na zakuzushiwa za escrow, we kioju unazungumza propaganda tu na siasa za maji taka lakini unajua kuwa ngeleja uwezo wake Mkubwa na ana legacy...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.