Tusilumbane kwa hoja zisizo za msing watanzania, tambuen ya kwamba tunajidhalilisha wenyewe maana mcdhan ya kuwa kila anayetoa mawazo jf anatoa jina kamili, kwaiyo unaweza ukaona unalumbana na viongoz wakubwa umu na usijue, kwaiyo 2jitahd kujenga hoja za msing kwani jamiiforums imetupa uwanja...
Hakuna lolote, JK ni kinyonga maana uyo mkuu wa mkoa asingeanza kumwacha wenje hivi2 ila ni chuki ambayo aliitengneza na hawa waliounga mkono chuki hiyo wanazd kuyumbshwa. kwaiyo mkuu wa mkoa alitimiza maagzo ila jk baada ya kuona hali c nzur ikambd avunje utaratb wao wa siri.
Kwaiyo nani alaumiwe sasa, viongozi wenye dhamana au wananchi waliotoa dhamana kwa viongozi? ama kweli nimeamin usemi wa vitabu vitakatfu kwamba Mungu akitaka kumwadhbu kiongoz yeyote kwanza humtia upofu ili change ije.
jaman kimsingi ata mm nashandwa kuelewa juu ya huu mwenge kama upo kitaifa zaid ama kchama...maana yale mavaz ya kijan cjui yanatafuta nn yan alaf pia uyo kiongoz wa mbio nae hajielewi.
Naungana na serikal kupandsha gharama kwa walmu wa kgen kwan n halal kutetea wazawa, hvyo kama shule bnafsi zina ubnafs had kwa wazawa naomba zibadilike maana cha msingi n kupata walmu wazawa ambao watahudumu kama hao wagen
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.