kula kwa tindo
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 1,330
- 324
Habari wana JF..
Kuna habari nilizickia jana toka Mtwara kua,kuna uhamasishaji wa kugomea Mbio za Mwenge kwa Njia ya Vpeperushi.
.
Leo nimethibitishiwa uwepo wa hali hiyo kupitia Wapo Radio,kisa ni Issue ya Gesi. Wananchi hao wa Mtwara wamesema,wako kimya si kwamba wameridhika na suala la Gesi lilivyochukuliwa kirahisi na kibabe na serikali.
Pia Wananchi hao wa Mtwara wametoa madai kua, hawana amani kabisa,wakitutwa wamekaa watu kuanzia 5 Hukukamatwa na askari wa JW na kuhojiwa wanaongea juu ya nini.
Na kichapo juu.. hali inayopelekea kudidisha chuki kwa Serikali..
Pia kuna tetesi kua Bibi wa Msimbati(kijiji ambacho Gesi imegundulika) anatafutwa kwa udi na uvumba,kwani Gesi inapungua kwa Kasi kadiri siku zinavyoenda,(japo hawasemi) na hii ni kwa kauli ya Mama huyo aliyoitoa kua hata iweje Gesi haitoki Mtwara na hawataiona!
Naiomba Serikali hii sikivu irudi kwa Wananchi na kuwapa somo zaidi,na sio kutumia Ubabe kwani iko siku tutasikia maafa zaidi kule..
Kuna habari nilizickia jana toka Mtwara kua,kuna uhamasishaji wa kugomea Mbio za Mwenge kwa Njia ya Vpeperushi.
.
Leo nimethibitishiwa uwepo wa hali hiyo kupitia Wapo Radio,kisa ni Issue ya Gesi. Wananchi hao wa Mtwara wamesema,wako kimya si kwamba wameridhika na suala la Gesi lilivyochukuliwa kirahisi na kibabe na serikali.
Pia Wananchi hao wa Mtwara wametoa madai kua, hawana amani kabisa,wakitutwa wamekaa watu kuanzia 5 Hukukamatwa na askari wa JW na kuhojiwa wanaongea juu ya nini.
Na kichapo juu.. hali inayopelekea kudidisha chuki kwa Serikali..
Pia kuna tetesi kua Bibi wa Msimbati(kijiji ambacho Gesi imegundulika) anatafutwa kwa udi na uvumba,kwani Gesi inapungua kwa Kasi kadiri siku zinavyoenda,(japo hawasemi) na hii ni kwa kauli ya Mama huyo aliyoitoa kua hata iweje Gesi haitoki Mtwara na hawataiona!
Naiomba Serikali hii sikivu irudi kwa Wananchi na kuwapa somo zaidi,na sio kutumia Ubabe kwani iko siku tutasikia maafa zaidi kule..