Wakuu nataka kufanya biashara ya miwa ya kukata na kuweka kwenye vifuko. ko nlikua naomba kwa anaefahamu anijuze kama ntachukua vijana wa kuniuzia niwape mtaji na kokoteni kwa siku huwa wanaleta shngap na biashara inaendaje kwa ujumla.
Ahsanteni..
HABARINI za muda huu Wakuu, mimi ni kijana nimeenda age kidogo, kwasasa nipo chuo mwaka wa3. Nilikua natamani kujua kutengeneza animation since 2016 ila sikua na wakunisapoti nilielezea hili suala kwa familia ila walilizalau.
Sasa hivi nahitaji kujifunza kwan nimeshanunua tablet Xpen mini deco...
Wakuu nimemeza malafin kwaajili ya malaria, siku ya pili yake nikahisi maumivu kwenye uume kucheki kuna kama vijipele hivi, nikavichukulia poa kuamka siku ya pili yake limekua donda, yani ni kama jeraha la moto linanikondesha sana kwani siwezi nikasema kuwa ni gonjwa la zinaa coz sijasex...
Eti nyie viumbe mliokuemo humu. nahitaji kujua kama kweli kuna dawa za kuongeza Dushe (Uume). kama kunamtu amewahi kutumia dawa yoyote na amefanikiwa nijue ni dawa ipi hiyoo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.