kitu kinachonifikirisha mpaka sasa ni kua,je hilo jumba ni la kwake?,na huo msafara wa hayo magari yaliyoandikwa jina lake ni ya kwake pia?,kavitolea wapi huyu mwanamama?
yaani ndugu kama unaweza kusimama hadharani kumtetea alichofanyiwa ofisa yule,basi sitashangaa ntapogundua kua wewe pia ni askari polisi!.kw namna hawa polisi wanavotufanyiaga si raia mi nlitamani hata wagedundwa mpaka wavunjike viuno.,
Huwa nasononeka sana kumuona mtu nnayeamini amesoma akiamini na kuyasadiki mashudu anayoyasoma mtandaoni..Eti familia za kiluminati,mara et zinamiliki dunia,
pole sana brother,ila dunia nnayoishi mimi haimilikiwi na binadamu yoyote yule,labda unayoishi wewe
Jina. mzee noninale mbitiyapi ng'waniihtako
Umri miaka 78
Kazi. Uchawi/Uganga
Mahali. Gamboshi Bariadi
Natafuta wa kubadilishana nae dawa. Za Samba au Ndagu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.