kuna vitu vinatofautiana hapo kubatizwa,kufungiswa ndoa na hayo mbo mengine wanaweza Fanya kwa kuwa Mungu aliwaruhusu ila kwenda kuungama tena wengine kwa kutembelea Magoti mbele ya mapadri hiyo ni kufuru....
wa kutubu mbele yake ni Mungu peke yake na kumweleza dhambi zote.......sharti kila...
Tatizo la wabungo hili
Mbongo alieajiriwa ofisini, mwenye kipato cha shilingi laki tano au pungufu kwa mwezi anamdharau mtu aliejiajiri kuuza nyanya anaepata kipato cha mpaka millioni 2 kwa mwezi.
hajuai kama ajila ni kama utumwa
Sent using Jamii Forums mobile app
padri ni binadamu wa kawaida kabisa anacho takiwa padri kufanya ni kukufundisha kuwa hiki ni dhambi na hiki ni harari hivyo unapo tenda kosa ukiongozwa na roho wa Mungu unakumbuka padri alikwambia kuwa ni dhambi basi unamwambia MUNGU peke yake juu ya dhimbi husika basi ungamo na toba yako...
basi kama raia wakiibiwa na huku serikali ndo imewaruhusu hao jamaa wafanye kazi hapa Bongo ....basi udhaifu utakuwa ni kwa Viongozi kwa asilimia 100% hapa huwezi walaumu raia wanaoinda kujoin nao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida ipo kwetu Watanzania hujafwatilia na kujua uhalali wa kampuni Tunakurupuka kuwapa pesa....
Tutambue kabla ya kuwaamini watu au kampuni yoyote cha muhimu ni Kujua Imesajiliwa kwa sheria za nchi yetu maan kama imesajiliwa ikikutapeli unahaki ya kuishtaki...
kuna kampuni niliwauliza...
y
es kuna mazuri kafanya japo kama mwanadamu huwa anateleza ila haina maan hajafanya nkitu no, mara baada ya uchaguzi kinacho takiwa ni sapport ili kuendeleza nchi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.