Recent content by Mtoomondo

  1. Mtoomondo

    Kwanini Mungu hupiganiwa na kutetewa wanadamu zaidi kuliko mwenyewe?

    Inategemea mungu gani. Ila ninavyojua MUNGU hapiganiwi.
  2. Mtoomondo

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Eddy Shegy nyimbo zote alizoimba kwa lugha ya kisambaa Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Mtoomondo

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    DHAMBI YA KIBURI "KIBURI" ni kati ya dhambi ngumu sana kujigundua kama unayo au la. Na kwa sababu ya ugumu wa kujigundua, ndio maana imemaliza watu wengi na hata watumishi wazuri wa Mungu... "Naweka hapa mambo kadhaa TUJIPIME SOTE KAMA TUNA DALILI ZA KIBURI AU LA" 1. Ukiona, KILA UKIONYWA...
  4. Mtoomondo

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Nilishataja jina,eneo ninalo ishi , mpaka namba yangu ya simu nimetoa humuhumu JF lakin sijapata huduma yeyote ni takriban miezi 4 Sasa utafikiri ninapewa huduma bure. Nimefunga mkanda na familia yangu kutafuta hicho kiasi, ili nipate huduma ya kuunganishiwa umeme kwa wakati lkn wapi. Tanesco...
  5. Mtoomondo

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Tanesco Kigamboni, WARASIMU naomba mnirudishie hela yangu nikanunue solar hamtaki kuniunganishia umeme. Tanesco Makao Makuu mme kaa kimya naona mshirikiana na tawi lenu Tanesco hamtaki kunihudumia.
  6. Mtoomondo

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Kaka hutajibiwa n'go , watakaojibiwa na kuhudumiwa ni wale wenye fedha zao na mamlaka mbalimbali serikalin. We kaa ukisubiri.
  7. Mtoomondo

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Tanesco ya wenye pesa. Sisi maskini tutafungiwa umeme kwa muda wanaotaka wao. Tunaomba wizara mnisaidie kila kitu nimekamilisha mpaka muda wa kusubiri umekwisha (Tanesco Kigamboni kwa kweli mmedhilisha RUSHWA ndo kipaombele chenu.
  8. Mtoomondo

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Najua mnanifanyia makusudi. Wenye pesa wananguvu bhana.
  9. Mtoomondo

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Tanesco Makao Makuu mnakaa kimya inamaana mmeshindwa kunisaidia!!? Au ndiyo hivyo mko kwa wale wenye mamlaka na uwezo wa kipesa. Tuka lalamikie wapi. Ngoja niadike barua EWURA CC labda watanisaidia.
  10. Mtoomondo

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Umevumilia kwa muda gani mwenzangu.!!?
  11. Mtoomondo

    EWURA, yatangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini

    Kodi si tatizo saana mbona zinaeleweka na zinamchanganuo mzuri tu ila hila za wafanya biashara kutaka faida za haraka pasipo kusaidia wananchi. Na EWURA emewekwa kuregurate na kusimmia masirahi ya WAFANYABIASHARA sio wananchi. Watu waliopo EWURA ni kusimmia PERSONAL na PRIVATE interest na sio...
  12. Mtoomondo

    EWURA, yatangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta ya petroli hapa nchini

    EWURA wanakula njama na WAFANYABIASHARA WA MAFUTA. Sababu wanazotoa wa si za msingi kwa wananchi wa kwaida. Wanaotumia mamlaka ya walionayo kibabe kuwahadaa wananchi.
  13. Mtoomondo

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    TANESCO MAKAO Makuu hamlioni lalamiko langu kwa Tanesco Kigamboni au tatizo liko kwenu kwa kushindwa kupeleka vifaa kazi; kupeleka magari pamoja ukarabatii wa magari yaliopo ili kuboresha huduma maana Tanesco Kigamboni wanna visababu vyao eti magari Ni machache na mabovu.
  14. Mtoomondo

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Mtanifungia umeme lini jamani mbona imekua ni kero sana!!!I? Nina miezi 3 tangu nilipie na muda kusubiri umekwisha kila siku hakuna sababu za msingi. Wengine wamefungiwa kwa haraka na tulikuwa pamoja kwenye malipo mpaka ufuatiliaji nimuone nani; na mimi nitoe kidogo nipate huduma. Maana haya ni...
Back
Top Bottom