Hivo ndio unapenda kuona wewe unaye ona bora vita mailete refference za nyuma sisi tuna enda mbele tuzuie hivi vitu visitokee duniani havina ulazima tuzungumze Amani ya nini yote hii na ikiwa mtu ajachokozwa au kufanywa chochote watu hawaja lipiza wapewe uhuru haya mambo ya kitumwa mtu akitaka...
Lets speak Amani nyie mnaona heri watu kufa kuliko kuongelea amani kwanini msiache ujuzi wenu na flash back zote mkaanza kufikiria athari za umwagaji damu haijalishi chochote haki iko wapi ila now sio wakati wa vita. MI KWA UPANDE WANGU BUSARA SI KWA KUMWAGA DAMU HUO NI UBABE WA KIJINGA SANA...
All in All nimesoma thread sana sana ila mi naona hakuna umuhimu wa kumwaga damu.. coz hakuna maslahi yoyote katika umwagaji damu yaamin mtu yoyote anaye chochea vita ni punguani kabisa haijalishi history au nani anataka nin kwa nani kikubwa busara zitumike kumaliza choko choko kuna watu...
Sina haya kuficha kinacho nisibu ni kweli rafiki yangu na si mimi Ila yeye hayuko humu sijui namna ya kutibu tatizo hili thus na share na Wakuuu zangu humu najua naweza kupata ushauri au njia ya kumsaidia unajua ili tatizo akipata rafiki inakua kma wewe maana huruma na psychological inaleta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.