Msaada Wana Jamiii wenzangu wa tatizo la nguvu za kiume

Mtolera

Member
May 2, 2016
47
21
Nina kijana mwenzangu rafiki yangu yeye anaishi mbali na mpenz wake na hukutana mara moja moja sana yaan hata miez 4 na kuendelea sometimes

but wanapokuwa wawili anakua na hamu na inasimama vizur lakin inapofika wakati wa kuingiza inanywea yaan inashindwa kupandisha mlima sasa wana Jamii naomben mawazo ya kumsaidia ndugu yetu
 
ana msongo wa mawazo huyo, ka si hivyo itakuwa kachezewa.....mwambie ajaribu demu mwingine akikuta hali ni hiyohiyo aende akamwone dactari ,kwani kwa mwezi anafanya mapenzi mara ngapi....?
 
Niña kijana mwenzangu rafiki yangu ye anaishi mbali na mpenz wake na hukutana mara moja moja sana yaan Hata miez 4 na kuendelea sometimes but wanapo kua wawili anakua na hamu na inasimama vizur Lakin inapo fika wakati wa kuingiza inanywea yaan inashindwa kupandisha mlima sasa Wana Jamiiiiiiiiiiiii naomben mawazo ya kumsaidia ndugu yetu
Kuwa mkweli kuwa ni wewe unahitaji, uzuri humu ni majina feki karibia yote, au ulikuwa shuhuda wakati big gun ikigoma kuload bullets?
 
Dawa ya kutibu ipo, funga safari uje huku MWANZA, sengerema tatizo linakoma mara moja nawe unapata kurudisha heshima na utu wako.

Kama utakuwa mwaminifu unatibiwa huko huko malipo badae au kama utalipa kwanza ni vizur kuepuka usumbufu.

Details ni jina la Babu yako moja kwa upande wa baba, na jina moja la bibi wa mpenz wako kwa upande wa mamaake.

Kama unahitaji utaweka bidii
 
mbona unalalamika kama tatizo ni lako
Sina haya kuficha kinacho nisibu ni kweli rafiki yangu na si mimi Ila yeye hayuko humu sijui namna ya kutibu tatizo hili thus na share na Wakuuu zangu humu najua naweza kupata ushauri au njia ya kumsaidia unajua ili tatizo akipata rafiki inakua kma wewe maana huruma na psychological inaleta effect kubwa sana so Plz Wana Jamiiiiiiiiiiiii
 
Nina kijana mwenzangu rafiki yangu yeye anaishi mbali na mpenz wake na hukutana mara moja moja sana yaan hata miez 4 na kuendelea sometimes

but wanapokuwa wawili anakua na hamu na inasimama vizur lakin inapofika wakati wa kuingiza inanywea yaan inashindwa kupandisha mlima sasa wana Jamii naomben mawazo ya kumsaidia ndugu yetu
Huyo Rafiki yako mwambie anitafute kw awakati wake nipate kumtibia apate kupona.Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169
 
Nina kijana mwenzangu rafiki yangu yeye anaishi mbali na mpenz wake na hukutana mara moja moja sana yaan hata miez 4 na kuendelea sometimes

but wanapokuwa wawili anakua na hamu na inasimama vizur lakin inapofika wakati wa kuingiza inanywea yaan inashindwa kupandisha mlima sasa wana Jamii naomben mawazo ya kumsaidia ndugu yetu
Ni bora ungesema ni mimi kulikoni kumsingizia rafiki yako....
 
Nina kijana mwenzangu rafiki yangu yeye anaishi mbali na mpenz wake na hukutana mara moja moja sana yaan hata miez 4 na kuendelea sometimes

but wanapokuwa wawili anakua na hamu na inasimama vizur lakin inapofika wakati wa kuingiza inanywea yaan inashindwa kupandisha mlima sasa wana Jamii naomben mawazo ya kumsaidia ndugu yetu
Pole ila ungesema ni wewe sidhani kama ingekuwa shida sana.
 
Nina kijana mwenzangu rafiki yangu yeye anaishi mbali na mpenz wake na hukutana mara moja moja sana yaan hata miez 4 na kuendelea sometimes

but wanapokuwa wawili anakua na hamu na inasimama vizur lakin inapofika wakati wa kuingiza inanywea yaan inashindwa kupandisha mlima sasa wana Jamii naomben mawazo ya kumsaidia ndugu yetu
Mkuu unatembelea nyota ya rafikio sio?
 
Nina kijana mwenzangu rafiki yangu yeye anaishi mbali na mpenz wake na hukutana mara moja moja sana yaan hata miez 4 na kuendelea sometimes

but wanapokuwa wawili anakua na hamu na inasimama vizur lakin inapofika wakati wa kuingiza inanywea yaan inashindwa kupandisha mlima sasa wana Jamii naomben mawazo ya kumsaidia ndugu yetu
Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169
 
Nina kijana mwenzangu rafiki yangu yeye anaishi mbali na mpenz wake na hukutana mara moja moja sana yaan hata miez 4 na kuendelea sometimes

but wanapokuwa wawili anakua na hamu na inasimama vizur lakin inapofika wakati wa kuingiza inanywea yaan inashindwa kupandisha mlima sasa wana Jamii naomben mawazo ya kumsaidia ndugu yetu
chukua karot moja ndiz moja parachichi moja na tikit kipande

tikit ukila kula na mbegu na ganda ukumbuke kuliosha
kula asubuh na jion siku mbili tu tattizo linaisha ukipona usisite kutoa bakshishi na takshishi zako kwa tigopesa na mpesa namba ni moja tu ni hii 0712505049 kias chochote kama shukran kiwe kikubwa au kidogo
 
Back
Top Bottom