Wana JF,
Ninauza vifaa mbalimbali vya salon ya kiume kama ifuatavyo: Vioo viwili vikubwa vya kisasa kwa Tsh 300000, Viti viwili imara sana Tsh 200000, mashine tatu nzuri za kunyolea kwa Tsh 100000 zote tatu, spirit, vitambaa, powder, scrub oil, etc nitakupatia kama offer. Kwa anayehitaji...