Nyamakonge naona umeshindwa kuelewa na kupambanua vizuri hoja iliyojadiliwa jana. Kifupi bunge la katiba linaendelea kama kawaida. Baada ya kumaliza vikao vya bunge la katiba kura za wananchi kuipigia kura katiba waipendayo ndiyo isipigwe mpaka mwakani ila sasa kuna baadhi ya vipengele wamesema...
Watu walikuwa wanatembea uchi viwanda vimekufa. Na hata mtu akifa baadhi ya watu ndugu zao walikuwa wanamzika na viroba. Lakini alipoingia mwinyi karuhusu mitumba ije leo tunamuona mbaya Daaa inaniuma xana nikikumbuka njaa na mgao wa umeme wakati wa mwinyi havikuwepo
Duuuuuu kweli nchi hiii inashindwa kumpa hongera zake mwinyi kweli mfadhiri mbuzi binaadamu atakuudhi. Mwinyi kaichukua nchi hii tukiwa hatuna mafuta ya aina zoote ya taa. Petrol. Diesel. Upande wa vyakula tulikuwa tunakula unga wa farasi. Kutoka marekani. Chakula huwezi nunua mpaka ununue na...
Kuna baadhi ya watu hata somo la hesabu lilikuwa baba mkwe au mama mkwe huko mashureni walipokuwa wanasoma maana mtu anasema unapounganisha namba mbili unapata moja hivi kwa kawaida kitu kimoja na ukiunganisha na kimoja natumaini unapata viwili. Na ndiyo jawabu
Mimi namsifu kwackufikisha mawazo yake lakini akiwa ndani ya kikao. Na kile alichokiongopa akakubali kukifuta sasa ukawa wehu maana walitakiwa wawemo ili tuwasikie
Kama ni ufafanuzi wakautoe bungeni kwenye majukwaa haitosaidia kitu kwani ni watanzania wangapi? Waishio kijijini wala hawajui kama kunaabadiliko ya katiba ni hapo kwenu Dar ndiyo mnaojifanya kuwa wasemaji wa watanzania wooote
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.