Kilichomtokea dr slaa ktk chama chetu kimenikumbusha mambo mawaili:
1. Jinsi alivyokuwa akihubiri kuwa CCM kinawatumia wananchi km makarai yanavyothaminiwa wakati wa ujenzi na baada ya ujenzi kukamilika karai hapendezi kukaa hata uvunguni. Ndivyo alivyojenga CDM hadi leo hii kumvutia Lowassa...
Toa ushenzi wako, yaani usimwambie Lowassa asituvurugie chdema yetu badal yake unamsihi Slaa aliyepata ukilema kwa ajili ya CDM leo akubali chama kubakwa na LiFISADI Lowassa?
Laana utapata wewe unayemtukana asiyekutukana. Leo unaona Slaa msaliti kwa sababu ya Lowassa aliyevamia chadema? Kati Mbowe na Slaa nani kamsaliti mwenzie?
Kweli ujinga ni mtaji wa wenye hela.
Faida ya Lowassa ni miezi miwili tu, utaniambia baada ya uchaguzi km atakuwa na faida yoyote. Zaidi anakiua cdm kwa kuwa nunulia brashi na jick ya kusafisha UFISADI na kuwekea jina mpaya la TUHUMA.
Kwani Makene hawezi kuandika mpaka umwakilishe ww?
Huo ni umbea, mtu unakuja kuhu nakusema fulani anasema ........, we nani mpaka akutume kuleta habari?
Mimi ni mwanachadema wa kuaminika, naipenda
sana cdm lkn kwa hili lililofanywa, no more
democracy ktk chama hiki, nimetumia nguvu
kubwa sana kukitetea kila nilipokuwa, na sasa
nasikitika sana kuona tunaachwa katikati ya
bahari, hatujui tunakwenda wapi kisa Lowassa,
Lowassa hanahuruma hata...
mm ni mwanachadema wa kuaminika, naipenda sana cdm lkn kwa hili lililofanywa, no more democracy ktk chama hiki, nimetumia nguvu kubwa sana kukitetea kila nilipokuwa, na sasa nasikitika sana kuona tunaachwa katikati ya bahari, hatujui tunakwenda wapi kisa Lowassa,
Lowassa hanahuruma hata...
Tatizo la wasomi wa sasa ni kutofikiri vzr na kupelekwa na upepo mdogo tu.
Mtu anapotoa ushauri na wewe ukatukana maana yake nn? unakosa ustaarabu wa kukataa ushauri na kutoa mawazo mbadala?
JF naona imejaa watoro wa shule!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.