OMBI; Onyesha uzalendo baki chadema, baki UKAWA.

OMBI; Onyesha uzalendo baki chadema, baki UKAWA.

Rasterman

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2015
Posts
33,856
Reaction score
44,200
Ndg wanamabadiriko, mtakumbuka wiki mbili zilizopita niliandika uzi humu, kuuonya ukawa juu ya ujio wa Mh Lowasa.

Awali sikuelewa nini maana hasa ukawa walilenga lakini sasa nimeshaelewa na ninaunga mkono.

Ktk harakati zote zilizofanywa na viongozi wa vyama hakuna ubishi kwamba Katibu Mkuu dr W.Slaa alitumia mda mwingi kutuelimisha watanzania juu ya udhalimu wa chama tawala ccm. Zaidi ya hayo alilenga kutubadirisha mitazamo ili watanzania tuelewe hatima ya nchi yetu na kuhakikisha ccm tunaachana nayo na kuungana na wanamabadiriko ndani ya vyama.

Mungu si athmani amesikiliza kilio cha watetezi wetu akiwemo dr Slaa, na sasa watanzania wengi wameanza kuufata mwanga wa ukombozi( UKAWA). Hata wale tuliodhani wana mioyo na shingo ngumu (wana ccm kindakindaki) sasa wanaungana na sisi wazalendo ktk mapambano.

Habari zinazoenea kwamba dr slaa anahama au kuachana na siasa ndani ya Chadema zitatuvunja moyo na hivyo kudhanikwamba Dr Slaa hakuwa mwanaharakati wa kweli na alikuwa anaturubuni tu ili apate kkuungwa mkono na huenda yale aliyohubiri hakufanya vile kwa dhati. Ni wakati wa kufurahia kazi nzuri mliyofanya viongozi wote wa Chadema na Ukawa kwa ujumla kwani sasa mnaungw mkono na watu wa aina zote, na hili lilikuwa lengo letu kimsingi.

Dr slaa ombi langu kwako, kaa chini msikilize Mungu, wakati wa mabadiriko ni sasa lazuma sote tubadirike tuwe na mioyo miepesi kuwapokea wale tuliowavuna kutokana na nguvu na jasho letu.

Tambua kuwa haikuwa kazi rahis wanaccm vigogo kuhamia chadema na ukawa, si kwabsababu wamekatwa kwenye vyama vyao ndo wakaja kwetu la! hasha. Ispokuwa chadema ni chama chenye mvuto, kinaonesha mwanga wa mabadiriko, nuru ya ukombozi ndani ya ukawa imewaangazia watanzania wote na hii ni matokeo ya kazi yenu.

Dr na wenzako mmesahau wakati mlipopigwa mabomu mikutanoni? Wengine mlipelekwa mahabusu, mahakamani mlitukanwa na kubezwa kwa shughuri hiyo mliyofanya. Sasa ndugu zangu mnataka kwenda wapi? Mbona sioni mkijitokeza hata kwa dakika moja tu mkakanusha habari hizi? Nasikia mnataka kuondoka!
Bado naamimi dr slaa ni mwadirifu, mcha Mungu haweziruhusu mpasuko ndani ya chama kwa hoja nyepesi za maccm eti kwa nini ayngane na Lowasa.

"Nothing can dim light that shines from within"
 
Kwakwel bora zitto atleast tulishamzoea vituko vyake pia sio mbaya sababu ni kijana basi tunajua una mambo mengi

Lakini huyu mzee slaa ni mzigo kwakwel, mzee mzima kama huyu kushikwa akili na mwanamke wa nje ya ndoa ni aibu sana, hiv kwel huyu urais angeuweza kweli, eti ooh mara nchi haitatawalika, huu ni ujinga kumbe yeye mwenyewe nyumban kwake ndiko hakutawaliki.

Kiongozi wa chama mkubwa unalipwa zaid ya milion 7 per monthly bado posho na marupu rupu kibao lakini week sasa inaisha umefungiwa ndani na janamke kazini huendi? Hivi kweli unadirik kumpa mwanamke password za social networks, aiseee huyu mzee mi nimemshusha sana thamani, anajifanya anaichukia CCM kumbe unafiki tu,kweli leo hii ndio kawa wa kusaliti CHADEMA.

Laana itamtafuna huyu mzeee

Edi
 
Ndg wanamabadiriko, mtakumbuka wiki mbili zilizopita niliandika uzi humu, kuuonya ukawa juu ya ujio wa Mh Lowasa.

Awali sikuelewa nini maana hasa ukawa walilenga lakini sasa nimeshaelewa na ninaunga mkono.

Ktk harakati zote zilizofanywa na viongozi wa vyama hakuna ubishi kwamba Katibu Mkuu dr W.Slaa alitumia mda mwingi kutuelimisha watanzania juu ya udhalimu wa chama tawala ccm. Zaidi ya hayo alilenga kutubadirisha mitazamo ili watanzania tuelewe hatima ya nchi yetu na kuhakikisha ccm tunaachana nayo na kuungana na wanamabadiriko ndani ya vyama.

Mungu si athmani amesikiliza kilio cha watetezi wetu akiwemo dr Slaa, na sasa watanzania wengi wameanza kuufata mwanga wa ukombozi( UKAWA). Hata wale tuliodhani wana mioyo na shingo ngumu (wana ccm kindakindaki) sasa wanaungana na sisi wazalendo ktk mapambano.

Habari zinazoenea kwamba dr slaa anahama au kuachana na siasa ndani ya Chadema zitatuvunja moyo na hivyo kudhanikwamba Dr Slaa hakuwa mwanaharakati wa kweli na alikuwa anaturubuni tu ili apate kkuungwa mkono na huenda yale aliyohubiri hakufanya vile kwa dhati. Ni wakati wa kufurahia kazi nzuri mliyofanya viongozi wote wa Chadema na Ukawa kwa ujumla kwani sasa mnaungw mkono na watu wa aina zote, na hili lilikuwa lengo letu kimsingi.

Dr slaa ombi langu kwako, kaa chini msikilize Mungu, wakati wa mabadiriko ni sasa lazuma sote tubadirike tuwe na mioyo miepesi kuwapokea wale tuliowavuna kutokana na nguvu na jasho letu.

Tambua kuwa haikuwa kazi rahis wanaccm vigogo kuhamia chadema na ukawa, si kwabsababu wamekatwa kwenye vyama vyao ndo wakaja kwetu la! hasha. Ispokuwa chadema ni chama chenye mvuto, kinaonesha mwanga wa mabadiriko, nuru ya ukombozi ndani ya ukawa imewaangazia watanzania wote na hii ni matokeo ya kazi yenu.

Dr na wenzako mmesahau wakati mlipopigwa mabomu mikutanoni? Wengine mlipelekwa mahabusu, mahakamani mlitukanwa na kubezwa kwa shughuri hiyo mliyofanya. Sasa ndugu zangu mnataka kwenda wapi? Mbona sioni mkijitokeza hata kwa dakika moja tu mkakanusha habari hizi? Nasikia mnataka kuondoka!
Bado naamimi dr slaa ni mwadirifu, mcha Mungu haweziruhusu mpasuko ndani ya chama kwa hoja nyepesi za maccm eti kwa nini ayngane na Lowasa.

"Nothing can dim light that shines from within"

Toa ushenzi wako, yaani usimwambie Lowassa asituvurugie chdema yetu badal yake unamsihi Slaa aliyepata ukilema kwa ajili ya CDM leo akubali chama kubakwa na LiFISADI Lowassa?
 
Toa ushenzi wako, yaani usimwambie Lowassa asituvurugie chdema yetu badal yake unamsihi Slaa aliyepata ukilema kwa ajili ya CDM leo akubali chama kubakwa na LiFISADI Lowassa?

sasa ukimya ndo unamaanisha nini!? kwanini asitoe tamko kama hajaridhia kuja kwa lowassa!? sisi tunataka mabadiliko tushachoka na propaganda za CCM, hii ndio fursa kwetu kuisambaratisha CCM. Mnyika na Dr.Slaa fungukeni msidanganywe na CCM kazi mlioifanya ya kujenga chama itakuwa bure endapo chama hakitashika dola mwaka huu, na msitegemee wananchi watakuja kuwaamini tena.
 
Hivi wewe unajidai unajidai unajua ukombozi kuliko Slaa?Wakati ubabe ulipotumika kumpitisha Lowassa endeleeni nao.Sio mnakuja kulialia hapa Slaa sio mjinga anajua ukweli wote
 
Cha maana Slaa aweza fanya sasa ni kuachana na siasa tu, CDM sold out and it is not a good idea for him to jump ship at this stage.
 
Ambacho sijakielewa so far, Dr. Slaa akiacha siasa atafanya shughuli gani /ataishije mjini? Au hua anafanya shughuli gani ya kuingiza kipato apart from siasa? Mwenye kufaham Tafadhali
 
Back
Top Bottom