Habari wakuu, nimepita mtandaoni nikakutana na hiki chuo kinachoitwa "EAST AFRICA STATISTIC TRAINING CENTER" Chuo hiki kipo DSM miongoni mwa kozi nilizoziona ni OFFICIAL STATISTICS pamoja na DATA SCIENCE!! Naomba mwenye ABC za chuo hiki kuhusu uhalisia wa chuo na utoaji wa masomo kwa ngazi ya...
Barua unachukua kwenye chuo ulichokuwa umesajiriwa!! Baada ya hapo unajaza form kutoka TCU, hii form ya TCU unaidownload kutoka kwenye Website ya TCU unaambatanisha na barua kutoka chuo kisha unapeleka kwenye ofisi za TCU. unakuwa umemaliza kazi!
Mkuu!! Ushauri bila taarifa kamili nikama kubet tu!
- Ana umri gan?
-Anafanya kazi gani?
-Je alishawahi kuwa mama?
- Na kabla yako!! He hyo walieachana kosa lilikuwa nn!?
Ukinijibu hutajutia!!
Blaza sema ndo mgen kwenye game so hata sijui aina gani za finder yaani mie nilijua zote zinafanya kazi the same!! Sikujua kunatofaut ya finder!! So naomba nitajiwe japo moja na pia nipate namna ya kuitumia!!
Wakuu habari za mda huu na poleni kwa mihangaiko!
Kama maana inavyojieleza hapao juu.
Nahitaji mwalimu ambaye yuko vizuri kwenye upande wa database ili apate niwe mwanafunzi wake kuna changamoto napitia japo Mwanga wa database ninao nikuongezea vitu vidogo tu ile nikihakikishie katika mambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.