Recent content by mtetezi12

  1. M

    Unajua somo hili katika mafanikio?

    Kwenye mitandao ya kijamii kumejavaa mafunzo mengi kuhusu mafanikio katika maisha au biashara yeyote na mafunzo hayo ni mazuri na nimoja ya njia ya mafanikio Je umewahi kusikia haya ? Ukiwa katika safari ya mafanikio katika biashara yako hakikisha umetimiza mambo haya kwanza 1) kuwa na...
  2. M

    Hakuna haki yeyote duniani utapata kwa kujifanya mnyonge

    Ukiona kelele hazifanyi kazi majibu yatapatikana msituni uko 😀😃😄😀😃 Ili mradi ukimbie ya 29() 😀😃😄😀😄
  3. M

    Hakuna haki yeyote duniani utapata kwa kujifanya mnyonge

    Dunia ni yawatu wenye nguvu hii UKijifanya mnyonge kwa kudai haki yako hupati zaidi utasingiziwa kesi ya ubakaji au kesi yeyote ili uzidi kuteseka Hakuna haki yeyote ambayo inapatikana duniani Iwe serekalini au kokote Kupata haki yako kwa kujifanya mnyonge ni vigumu mno Mathayo 25:29 Kwa...
  4. M

    Je, unaelewa kauli hii ya wanawake kwamba " ukinichiti nami nakuchiti"?

    Kuna kauli ambayo wanawake wa sasa wanatoa eti ukinichiti na mimi nakuchiti mpaka najiuliza how come Yaani Ukichiti mume wako na mwanaume mwingine unakuwa unamkomoa au unajikomoa sijawahi kuelewa hii mimi
  5. M

    Je, unajua wayahudi wamechangia pakubwa maendeleo ya technolojia urusi?

    Akili ya kuchangia naitoa wapi 😀😃😄😀😃😄 mimi kikubwa nimechangia mada basi inatosha na wewe changia comment
  6. M

    Je, unajua wayahudi wamechangia pakubwa maendeleo ya technolojia urusi?

    Kumbe sio usa tu pekee imesaidiwa na wayahudi katika maendeleo ya tecnolojia hata urusi pia ambayo tunaaminishwa itasaidia iran imesaidia pakubwa sana na wayahudi katika maendeleo ya tecnolojia hapa kuna list ya wanasayansi wakubwa wa urusi wenye asili ya kiyahudi na gunduzi zao 1. Andrei...
  7. M

    Je, hili linaweza kuwa tatizo gani la saikolojia?

    Hivi ili linaweza kuwa tatizo gani la saikolojia? Mtu kuwa uuongo sana yaani anadanganya kupitia kiasi. Kushindwa kujitambua ( yaani kuwa mtu ambaye anashindwa kudadavua mambo yake mwenyewe au kujisimamia ) Kuwa mtu mwenye wivu wa kupita kiasi, Mchonganishi, Mpenda sifa sana na kuongea kupita...
  8. M

    Mkwara wa Ali Rajinani kwa Trump na Netanyahu

    Mimi hata 500 nakuuza kabisa 😀😃😄
  9. M

    Mkwara wa Ali Rajinani kwa Trump na Netanyahu

    Huwezi kupingana na tajiri wakati unajijua wewe ni maskini lazima atakushinda tu Hata angekuwa mimi ndo muiran unipe mfano milioni moja dollar eti nionyeshe wapi kiongozi wangu alipo nitaonyesha tu uzalendo hulishi watoto wangu au wazazi wangu kuna uwezekano nikawa mzalendo nakafia vitani zawadi...
  10. M

    Mkwara wa Ali Rajinani kwa Trump na Netanyahu

    Huwezi kupigana na tajiri wakati unajijua wewe ni maskini lazima atakushinda tu Hata angekuwa mimi ndo muiran unipe mfano milioni moja dollar eti nionyeshe wapi kiongozi wangu alipo nitaonyesha tu uzalendo hulishi watoto wangu au wazazi wangu kuna uwezekano nikawa mzalendo nikafia vitani zawadi...
  11. M

    Nashindwa kuelewa tukio hili ambalo nimekutana nao

    Uenda nikawa na tatizo ilo maana sielewi na sijawahi kuwa na mawazo yeyote juu ya uyu mama au la. maana naona kama ni mauzauza tu Mtu azikwe alafu eti tena nije kumuona mmmm sijui labda nimeanza kuchizika maana mpaka sasa nahisi moyo wangu hujatulia mapigo ya moyo yanaenda kasi nahisi...
  12. M

    Nashindwa kuelewa tukio hili ambalo nimekutana nao

    KUna tukio nimekutana nalo shambani siamini mpaka kwasasa naona kama ni ndoto au ni uoga wangu au nini sielewi chochote mpaka sasa hivi kwa nilichokiona . Miezi kazaa hapo nyuma Katika kijiji chetu tulikuwa na msiba wa mama fulani ambaye alifariki baada ya kuugua mgonjwa wa kupooza kwa...
  13. M

    Baadhi ya mambo ambayo yamevumbuliwa au kuanzishwa na watu wenye asili ya kiyahudi

    Makampuni na Teknolojia Google – Sergey Brin, Larry Page Facebook / Meta – Mark Zuckerberg WhatsApp – Jan Koum, Brian Acton Intel – Andy Grove, Robert Noyce Oracle – Larry Ellison Dropbox – Drew Houston Snapchat – Bobby Murphy PayPal – Peter Thiel Palantir Technologies – Alex Karp WeWork –...
  14. M

    Kuna mtego Iran anaingia pasipo kujua

    Tuwape mda ndo rafiki wa kila kitu hii post yangu ipo siku mtairudia Kama nilivyosema kuhusu hezbollah na hamas miaka ya nyuma hapo
  15. M

    Kuna mtego Iran anaingia pasipo kujua

    Kuna mtego ambao Iran anaingia pasipo kujua Ushabiki wekeni pembeni tujiulize kabisa kama Marekani na Israel wana uwezo wa kujua siri za ndani ya Iran yaani nina maana kujua wapi viongozi wa juu wa Iran walipo na kuwaua. Je, washindwe kujua uwezo kamili wa kivita wa Iran? Je kama walijua Iran...
Back
Top Bottom