Naweza kupata tamthilia za kifilipino za zamani (The promise, Timeless, Marimari, It might be you, more than love. Etc) mwenye link au jinsi ya kuzipata hizi tamthilia anaijuze tafafhali
Kuna utofauti wa nyakati walixoandika riwaya zao.
Kwa wakati ule Musiba kwangu ni kinara wao,
Kwa wakati huu mchuano upo kwa Richard Mwambe(Kamanda Amata) na Patrick CK ( Mathew Mulumbi)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.