Recent content by Mtemu

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kwa wale waliowahi kutoa mahari halafu wakatamani/wakaingia mitini

    Security purpose labda angekua mmoja. Afu kwa nn abadilike vibaya baada tu ya kuona mahari imelipwa. Wadada (baadhi) wana tabia ya kuficha makucha pindi mpo kwenye mahusiano ya kawaida bt ukifikia kumtambulisha au ndoa hapo ndo utajua tabia halisi. Mi nimewahi kuwa na mmoja alikua fresh. Ile...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Kwa wale waliowahi kutoa mahari halafu wakatamani/wakaingia mitini

    Hapana. Usioe meku hilo ni bomu
  3. M

    JamiiForums Tanzania Tunapishana ratiba ya kufanya mapenzi, nifanyeje?

    Kwa uvivu wako ww tumia ushauri wa towel bath. Laki i kama unataka kunusuru ndoa yako na uepuke kuchapiwa kaza buti uwe na kwako. Hilo linalokupata liwe changamoto ya kusababisha uwe na kwako. Au chukua chumba ambacho ni self container. Sitaki nitumie sana ule ujinga wa wengi wa kusema sema...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa Watanzania: Tumfanye rais Dr. Magufuli atawale milele. Wahubiri demokrasia wao hawana demokrasia.

    Marekani hawana raisi wa kudumu. Then kupomezana madaraka ni ili kuleta mawazo mapya ili tuwe na mabadiliko. Tunachotakiwa kuwa nacho Tanzania na hakipo ni succession ambayo kiukweli haipo. Anayepokea haendelezi aliyouakuta anataka aanza yake. Akiyaanzisha anayekuja anayapinga so tunabaki pale...
  5. M

    JamiiForums Tanzania "The Economist" vs "Tarehe 26.04.2018", ni mpango maalumu ama!!. I hope TISS mmeshaliona hili.

    Unajua tumekaririshwa vibaya kua kutoa maoni ni " UCHOCHEZI" Nimepitia post ya ITV leo FB kuhusu issue ya Mh. Mkapa kuhusu elimu jamaa mmoja kacoment kwamba Mkapa ni mchochezi. Lisemwalo huwa lipo. Kwa nn serikali isichukue maoni na kuyafanyia uchunguzi kuliko kuyabatiza kwa jina la uchochezi...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Hivi hizi dini za Kikristo ni za kweli?

    Saa yaja ambapo waabuduo halisi watamwabudu Mungu katika roho na kweli. We don't believe in religions or dominions we believe in worshiping the Living God. Dini yako si kitu mpendwa. Bali wokovu ndo kila kitu. Wokovu ni njia ya Mungu kumtafta mwanadamu na hii ilifanyika kwa njia ya kufa kwa Yesu...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Hivi hizi dini za Kikristo ni za kweli?

    Watu wachache wa dini flani wanapokua wanaenda kinyume na utaratibu hatusemi dini ndo mbaya bali watu hao ndo wabaya. Haijalishi ni kiongozi au la. Wapo waislamu kibao wanaojitoa muhanga na kuua watu kibao. Lakini siamini kama waislamu hao wanatumwa na dini ya kiislamu bali ni ubaya wao binafsi...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Mimi na MB ndo basi tena, nimepata mkombozi

    Axe na mi hyo kifurushi ninayo. Ni mori axee.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna wanaume wa hivi au huyu ana mambo yake?

    Kiukweli huyo hakupendi. Mi nimewahi kuwa na dada mmoja naye alikua kama huyo jamaa. Ukimpigia hapokei kwa kisingizio kuwa huwa hapendi kuongea na simu labda sms tu. Bt nikaja kujua kwamba hakuwa na mm tu coz watu wengine huwa anaongea nao fresh kabxa. Nikaamua kukaa pembeni faster
  10. M

    JamiiForums Tanzania Wanaume wa Dar mnatia aibu

    Wala chipsi
  11. M

    JamiiForums Tanzania Nina nguvu za ajabu mpaka najiogopa

    Muombe Mungu akufunulie zaidi ya hayo. May b u have something special. Afu watu wa aina yako pia wapo wengi tu
  12. M

    JamiiForums Tanzania Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai ni mgonjwa anatibiwa India! Tumuombee

    Tumuombee apone. Mungu ni wa wote
  13. M

    JamiiForums Tanzania Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021

    Elimu bure sawa lakini mbona idadi kubwa ya shule bado ni majanga? Kuna wanafunzi hawapati huduma muhimu kwa sababu ya elimu bure. Kuna isue za ukosefu wa maji, chakula, walimu n.k. Naona bado hatukuwa tumefikia ilitakiwa iwepo kwenye plan ya miaka kadhaa then utekelezaji uwepo.
Back
Top Bottom