Recent content by mtemi wa vuga

  1. M

    JamiiForums Tanzania Uzi huu nitakuwa nikikupa updates za Magari used yalipo sokoni

    Ila wee jamaa,toka mwaka jana bado haujapata gari ya kutuuzia?
  2. M

    JamiiForums Tanzania Orodha ya Taasisi za Umma na Binafsi zenye 'njaa kali'

    Ondoa vision fund! Kijana wangu yuko pale anakula zaidi ya 4m per month
  3. M

    JamiiForums Tanzania Mzee wa Upako: Ukikuta Mwanamke hana Bikira huyo sio mke wako

    Ni lazima utoe bikira ya mke wako,ukikuta wametoa wengine wewe ni kama nyoka tu,shimo anachimba panya, wewe unaenda kuishi,ukitoka kidogo tu..mwenye shimo anakuja kuchungulia... kumbuka wanawake huwaga hawawaachi wanaume waliowatoa bikra
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mzee wa Upako: Ukikuta Mwanamke hana Bikira huyo sio mke wako

    Hii hainaga mjadala,
  5. M

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya FIC imenitapeli. Naombeni Ushauri

    Ukae kwa kutulia,tayari ushapigwa hapo.xha msingi ni kutulia,vuta pumzi,jipange upya.maishani hakunaga pesa rahisi.. Jitahidi ukipata pesa wekeza kwenye biashara inayoonekana kwa macho,simamia mwenyewe ,usimwamini mtu kwenye suala la pesa..
  6. M

    JamiiForums Tanzania Nikitu gani wazazi wako walikukataza toka utotoni lakin mpaka sasa ujakiacha umeshindwa kuacha kabisa

    Mitungi Yaani siku nikipata jinsi ya kuacha nitashukuru sana
  7. M

    JamiiForums Tanzania Sina chuki na uislam ila ukitaka kuwakaribisha kwako ni lazima ufikiri Mara 10000

    Uislamu sio dini,bali ni itikadi! Yaani hawa watu wa hii itikadi ukiwasikia na kuwaona waweza tamani hata kujiunga nao,lakini hakunaga midudu la hii,ina roho mbaya sana na tena ni kikatili sana ! Hayajali n hayana utu! Yaani wao eti kuua ni kama kukohoa tu!
  8. M

    JamiiForums Tanzania MDAU: Blacks and Arabs ni races zenye upumbavu wa Milele.

    Mwandishi ndio ako na ujinga ujinga! Yaani unawezaje kuweka mzungu ndio kipimo cha ustaarabu? Watu wanat*mbana wanaume kwa wanaume,wanawake kwa wanawake wanasagana?,wanafunga ndoa na wanyama?kwa taarifa hii dunia yaweza kuwa mahala penye amani na starehe kama wazungu wote wataondoka! And kwa...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini majina yetu asili tuliyakana na kuona ya wazungu/waarabu ndo yanafaa?

    Ni ujinga tu,kudhani majina ya kizungu na kiarabu ndio yanafaa mbele za Mungu! Hayanaga maana yoyote zaidi ya kupoteza asili yako,watu wamepitiliza mpaka wanawapa watoto wao majina ya rayvan, Diamondi Platnumz
  10. M

    JamiiForums Tanzania Tuwe makini kuwapa watoto majina ya kikabila yenye tafsiri za Kimungu, ukweli ni kwamba ni mizimu ya kiukoo, Usikurupuke ukaja kumharibia mtoto maisha

    Rubbish! Yaani unaleta dharau kwa mizimu ya bibi na babu zako na kutukuza miungu ya kizungu? Yaani unaona asili yako ni ya laana? Takataka kabisa
  11. M

    JamiiForums Tanzania Majina ya watu ya Asili kama vile ya kikabila na ya kiswahili uenda yakatoweka

    Kusahau asili yako,mtu unamwita mtoto Arvin,ukiulizwa lina maana gani hujui!
  12. M

    JamiiForums Tanzania Show off ya magari makali: Wengi hawakumuelewa Lugumi

    Mnyaki godlove ana mahela balaa! Alitualika kule matema beach tukala vyombo wiki nzima ,kila kitu kwake!msafara kuanzia Tukuyu mpaka Kyela...kijana ni balaa
  13. M

    JamiiForums Tanzania Mwanaume masikini ni lofa, hapaswi kupendwa

    Ndagha ujhobhile kikolo
Back
Top Bottom