Recent content by Mtemi Jongwe

  1. Mtemi Jongwe

    Zitto ahusisha malipo ya bilioni 700 za Barrick na ugombozi wa ndege!

    Zitto tumemchoka na kutafuta "kiki" za matukio, mwanzo alikuwa miongoni mwa wale waliosema pamoja na Lissu ETI tusiwaguse acaccia/barrick kwenye makinikia sababu tutashitakiwa na kulipa faini ya mabilioni, sasa kageuka utafikiri samaki anae geuzwa. Hata sheria mpya za madini ambayo zimetumika...
  2. Mtemi Jongwe

    Ugumu wa Biashara: Nakumatt tawi la Mlimani City Jijini Dar es Salaam yafungwa kisa kushindwa kulipa kodi

    Watau wanafiki, wazushi,?waongo hata ukweli hawaujui. Nakumat imetokea Kenya, huko Kenya kafunga matawi mengi, Uganda kafunga maduka yote. Sasa biashara ngumu wapi? Mwenye mali ndiye biashara imekuwa ngumu kipesa au hali ya biashara TZ??? Jikumbushe chanzo cha Green Land Bank kufa, pia 2014/15...
  3. Mtemi Jongwe

    Je, Serikali imebadili Magari ya Wakuu wa Mikoa?

    Wapinzani wa Makonda mtakufa na vijiba vya Roho
  4. Mtemi Jongwe

    Uteuzi wa Katibu wa Bunge; Ni Bunge Limevunja Katiba...

    Rais hajavunja katiba. 1. Mikutano ya vyama vya siasa inataratibu zake 2. Amri ya Rais ni kama zile Executive Orders ambazo Mfano, Marekani Marais wake wote hutumia kutawala
  5. Mtemi Jongwe

    Zitto: Sisi sote tunapaswa kuwa Tundu Lissu

    ZZK kwani kama umekuwa Mr Zero mwingine kwani ni lazima utuonyeshe huo "uziro" wako. Hnajichooora.
  6. Mtemi Jongwe

    Uteuzi wa Katibu wa Bunge; Ni Bunge Limevunja Katiba...

    Kitu ambacho nazidi kujifunza katika nchi yetu hii hasa tangu awamu ya nne ya serikali ni kwamba kuna wasomi wanapoteza kabisa UELEWA wao na Uwezo wa Kufikiri kwa sababu ya kutowapenda viongozi/kiongozi aliye madarakani.
  7. Mtemi Jongwe

    Nchi hii kuna watu wenye roho mbaya, wanafiki na wazandiki wakubwa!

    Kwani Alitumwa na chadema!!! Nasikia kaenda polisi na baadhi ya viongozi wa chadema
  8. Mtemi Jongwe

    Ufinyu wa akili zako ndio ujinga wako Malisa GJ

    Kaulize Chadema walivyo na wanavyoendelea kumsafisha Fisadi ambaye kwa miaka 8 walitumia mamilioni kuzunguka nchi nzima kumtangaza na kusema anastahili kuzomewa kila anapooonekana. Kwa hiyo Chadema wamedharauliwa sana na huyo fisadi. Halafu alivyo jeuri kakaa kimya chadema wanazidi kuhaha...
  9. Mtemi Jongwe

    Raila Odinga aondoka nchini Kenya na kwenya UK ataelezea huko hali ya Kisiasa ya Kenya

    Raila Omollo Odinga anakaba kama Edward Ngoyai Lowassa
  10. Mtemi Jongwe

    Pendekezo: Kila Mkuu wa Wilaya apewe Helikopta

    Subiri serikali ya chadema, itatoa helkopta kwa Ma-Dc na Ma-Rc
  11. Mtemi Jongwe

    Mtatiro rejea hii post yako, nini maoni yako CCM nao wangeamua kupitisha Sheria kama hiyo kule Zanzibar?

    Mtatiro alitakiwa atoe maoni yake kwanza, badala ya kuwa kama mwanamke anaetongozwa
  12. Mtemi Jongwe

    Siasa bana: Kwamba leo Shonza ni naibu waziri, Nape nje. Dah....!

    Mtatiro baada ya kuonana na Lissu na Mbowe anategemea kutangaza kuhamia chadema apate mshiko wa ziada.
Back
Top Bottom