Recent content by mtechnical

  1. M

    Hivi wakubwa bado kuna nyumba wanatumia ving'amuzi badala ya streaming kwa kutumia internet kwenye TV?

    Unawezaje kuangalia ligi ya uingeleza kwa streaming? Tupe maujuzi kaka hawa DSTV nimeshawachoka.
  2. M

    Nimegombana na mtu wangu wa karibu kwa sababu nimemnyima Gheto langu asifanye uzinzi

    Mimi ningemuonya kutokufananisha geto langu na danguro.
  3. M

    Ni mafanikio gani ambayo umeyapata kupitia mwanamke?

    Mafanikio ya ni kubadirisha nyumba yangu kutoka kuwa pango la kwenda kulaza fuvu usiku tu ( geto) kuwa home. Atleast sasa hivi nami nina somewhere i call home na ninaweza hata kukaribisha wageni. Pia nimpe credit ndiye alinipa hamasa kununua ardhi na kuanza kujenga.
  4. M

    Kazi za viwandani sio kazi, ni zaidi ya mateso

    Tatizo ni kuwa viwanda vingi vya wahindi vinatumia teknolojia ya hali ya chini ( sio automated). Kazi nyingi ambazo zingefanywa na mashine zinafanywa na watu hivyo wanajikuta wanahitaji labour force kubwa, matokeo yake wanalazimika kulipa mishahara midogo ili kupunguza gharama za uzalishaji ili...
  5. M

    GE2025 Utabiri wangu kuhusu maandamano Oktoba 29

    Mi sio chawa, nachukia uchawa kwa moyo wangu wote. Nimetumia tu common sense.
  6. M

    GE2025 Utabiri wangu kuhusu maandamano Oktoba 29

    Hakuna haja ya kunitukana. Mi nimeongea kwa common sense kwa namna ninavyo waona watanzania na ninavyo ona mambo yalivyo. Watanzania wengi bado hawajafikia hatua hiyo ya ku take rist kiasi hicho. That is common sense ambayo mtu yeyote ambayo yuko na free mind anaitambua. Siungi mkono...
  7. M

    GE2025 Utabiri wangu kuhusu maandamano Oktoba 29

    Mimi sio Mzanzibar wala muislam, sio CCM wala CHADEMA, ni mtanzania wa kawaida anayependa nchi yake.
  8. M

    GE2025 Utabiri wangu kuhusu maandamano Oktoba 29

    Maandamano ya kesho hayatafanikiwa. Hii ni sababu watanzania wengi hawajawa desperate enough kufikia ile hali ya kuwa tayari ku risk maisha yao. Wengi hawajafikia hatua ya kutokuwa na cha kupoteza liwalo na liwe. Matokeo yake, maandamano yakifeli yamkini wenye mamlaka watapata kibuli na kuanza...
  9. M

    Ujio wa Mama Mkwe - Sasa twazila Hela za Wife

    Ndoa ni ushirika kati ya watu wawili jinsia tofauti kwenye kila kitu. Hiyo style kuwa wewe ndio unabeba gharama zote za nyumbani na hela yake haijulikani inaenda wapi haina afya kwenye ndoa na familia. Ipo siku utayumba kiuchumi na ndoa itaingia mgogoro.
  10. M

    KERO Hivi hakuna namna hawa Halotel wakafukuzwa nchini?

    Kwani unalazimishwa kutumia Halotel? Haujui kuna maeneo huko vijijini ndani wanategemea Halotel tu?Wakifukizwa hao watanzania wenzako wanaopata ajira halotel utawaajiri wewe? Kama halotel haikufai ipotezee, acha kulia lia kama mwanamke.
  11. M

    Nimemuomba donati mke wangu ameninyima, naombeni Ushauri

    We huna akili aisee, hivi kweli haujui kuwa mwanamke akipata mimba anabadirika, anakuwa na hasira na kisirani?
  12. M

    Huyu shemeji yangu alijifanya ananikomoa

    You are the Legend 👏👏👏👏
  13. M

    Naungana na Zemanda na Natafuta Ajira kupinga Usimp

    Usimp ni utaahira. Ma simp ndio wanatufanya wanaume wengine tunaojitambua tuonekane kama hatujali.
Back
Top Bottom