Mafanikio ya ni kubadirisha nyumba yangu kutoka kuwa pango la kwenda kulaza fuvu usiku tu ( geto) kuwa home. Atleast sasa hivi nami nina somewhere i call home na ninaweza hata kukaribisha wageni. Pia nimpe credit ndiye alinipa hamasa kununua ardhi na kuanza kujenga.
Tatizo ni kuwa viwanda vingi vya wahindi vinatumia teknolojia ya hali ya chini ( sio automated). Kazi nyingi ambazo zingefanywa na mashine zinafanywa na watu hivyo wanajikuta wanahitaji labour force kubwa, matokeo yake wanalazimika kulipa mishahara midogo ili kupunguza gharama za uzalishaji ili...
Hakuna haja ya kunitukana. Mi nimeongea kwa common sense kwa namna ninavyo waona watanzania na ninavyo ona mambo yalivyo. Watanzania wengi bado hawajafikia hatua hiyo ya ku take rist kiasi hicho. That is common sense ambayo mtu yeyote ambayo yuko na free mind anaitambua. Siungi mkono...
Maandamano ya kesho hayatafanikiwa. Hii ni sababu watanzania wengi hawajawa desperate enough kufikia ile hali ya kuwa tayari ku risk maisha yao. Wengi hawajafikia hatua ya kutokuwa na cha kupoteza liwalo na liwe.
Matokeo yake, maandamano yakifeli yamkini wenye mamlaka watapata kibuli na kuanza...
Ndoa ni ushirika kati ya watu wawili jinsia tofauti kwenye kila kitu. Hiyo style kuwa wewe ndio unabeba gharama zote za nyumbani na hela yake haijulikani inaenda wapi haina afya kwenye ndoa na familia.
Ipo siku utayumba kiuchumi na ndoa itaingia mgogoro.
Kwani unalazimishwa kutumia Halotel? Haujui kuna maeneo huko vijijini ndani wanategemea Halotel tu?Wakifukizwa hao watanzania wenzako wanaopata ajira halotel utawaajiri wewe? Kama halotel haikufai ipotezee, acha kulia lia kama mwanamke.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.