Ndugu zangu Watanzania, umefika wakati sasa wa nchi yetu kuwa na chama kimoja, kilicho asisi uhuru wa nchi hii na kujenga udugu, upendo na umoja, yaani tanu na sasa ccm.
Nayasema haya kwa sababu,
1. Kwa sasa nchi imegota, mipango na bajeti waliyopitisha waheshimiwa wabunge wetu imeshindwa...