Recent content by MTAU JR

  1. MTAU JR

    WHO na kesi dhidi ya mila za Rwanda za kuongeza Kisimi

    Nakazia ... hii habari ingendana na kapicha
  2. MTAU JR

    Nimemtongoza Jana, leo asubuhi kanitext kapoteza hela zote na hajui afanyeje

    Mwambie akupe namba za mshua ubonge naye
  3. MTAU JR

    Lazima kijana utambue mambo yafuatayo ndipo ufanikiwe

    Maneno mengiiiii then point ya kutafta na tochi ..... any way vijana tutafte pesa hwa motivation speaks hawata isha
  4. MTAU JR

    Mbunge Mstaafu na Mtu Maarufu anahitaji Mchango wa matibabu, wewe unadhani uta survive vipi?

    Kwnini mshikamano uwe kwa watu kama hao ivi umesha wahi fika pale muhimbili kuna wangojwa wangapi ambao wametelekezwa pale hana ndugu wana teseka , au kule vujijini ndani mtu Ana umwa mwaka wa 5 huu hajui hatma yake Ana subiri kufa tu , naamini hata vitabu vya dini vina sisitiza tuwape wenye...
  5. MTAU JR

    Mohamed Said alifungwa wakati wa Nyerere, asamehewa wakati wa Rais Samia

    Nimejaribu kumsemea kulingana na stori yake cjaenda kiutaratibu
  6. MTAU JR

    Mohamed Said alifungwa wakati wa Nyerere, asamehewa wakati wa Rais Samia

    Basi huyu ndugu apigwe nyundo nyingine mkuu hamna namna
  7. MTAU JR

    Naomba ushauri: Nataka kuachana na Mwanamke ninayeishi naye

    Naungana na wewe kwa hili ... asipokuelewa kwa hili basi ndugu yetu kesha pigwa na kitu kizito kichwani tuite greda ije kumchomoa
  8. MTAU JR

    Naomba ushauri: Nataka kuachana na Mwanamke ninayeishi naye

    Kwahiyo mkuu unaona nibora uendelee kupata strees kwajili mmesha anza kufanya maendeleo, ivi unaji sacrifice kwajili tu mmesha nunua labda kiwanja au mmesha weka msingi ....nahisi tatizo lipo kichwani kwako bado ndomana huyo mwanamke anatumia advantage
  9. MTAU JR

    Naomba ushauri: Nataka kuachana na Mwanamke ninayeishi naye

    Kwanza Pole lakini binafsi naona hata wewe una makosa from the beginning kwanini umruhusu yeye ndo akupangie ilihali wewe ndo baba mwenye nyumba? Kitendo cha wewe kila unapokuwa na uhitaji uanze kujieleza kwake tayari kimepunguza kitu flani kwako Uamuzi upo mikononi mwako ukitaka anza sasa...
  10. MTAU JR

    Mohamed Said alifungwa wakati wa Nyerere, asamehewa wakati wa Rais Samia

    Tumshaurini mtoa uzi asitishe stori yake maana mpaka sasa anaonekana Ana makosa mengi sana [emoji23][emoji23]
  11. MTAU JR

    Mohamed Said alifungwa wakati wa Nyerere, asamehewa wakati wa Rais Samia

    Ngoja nimsaidie kidgo yani hapo inaonekana hilo begi analobebaga huwa ndani anaweka nguo za kubadilisha pamoja na silaha inamana alipomaliza lindo alibqdilisha nguo zake akawwka kwenye begi pamoja na silaha ndo akasepa manzese kupiga ulabu .... lakini bado amefanya makosa mengi ya kiufundi ...
  12. MTAU JR

    Mohamed Said alifungwa wakati wa Nyerere, asamehewa wakati wa Rais Samia

    Ivi katika hali ya kawaid unaweza Acha begi yenye silaha ikiwa na vitambulisho vyako ivi huyu askari maadili ya jeshi anayqjua kweli? Kuna makosa mengi sana ya kiufundi amefanya
  13. MTAU JR

    Msaada tafadhali, napitia wakati mgumu sana

    Kwanza Pole lakini pia kuna makosa mengi ya kiufundi umefanya ..... kwanza haikuwa uamuzi sahihi kufanya mazoea ya kwenda kulala kwa huyo demu ... swala la wewe kimsaidia isiwe ndo breakthrough ya wewe kujiaminisha kwake kwamba umesha mpata Huo mda ni mdogo sana kujiweka wazi sana kwake kiasi...
  14. MTAU JR

    Brand gani ya Flat screen ninunue inayoweza kudumu?

    Sema umesahau au hujui kama kampuni ya aboder sahvi ina miliki itel tv , zuhne tv ..... karibu
  15. MTAU JR

    Brand gani ya Flat screen ninunue inayoweza kudumu?

    Angalia hii kama upo serious nichek
Back
Top Bottom