hali hii indelee zaidi kwani tunakaribia kweny mafanikio,Tundu Lisu aliongelea vizuri sana tume ya maadili ya viongozi wa umma, haijawahi kumwajibisha hata kiongozi mmoja kwa wizi wa mali za umma licha ya nguvu ya chadema bungeni kupelekea baraza la mawaziri kuvunjwa na baadhi yao kutemwa, haya...
Hakika tunaitaji mabadiliko ya haraka,maana nchi haina viongozi bali majizi yanayogawana mali za umma kweupe,chadema tumaini jipya, kwa maendeleo ya kisasa, kwa viongozi makini
Serikali inahusika n aunyama huu,Hata darasa la pili anatmbua hilo,mmebakiza miaka mitatu ya kutuua,mkishindwa mjiandae kulipa roho mnazozitesa,na kurudisha mali ya umma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.