Una hoja kwamba wanaegesha maeneo yenye kuuza vyakula vya hovyo visivyoendana na bei pamoja na mazingira machafu.
Ila huna hoja, kuhusu vyakula kuwa ghali 5,000 hadi 10,000 ni ghali? Unataka ule kwa 2000 au 3000???
Sehemu wanapopark sio bei kubwa bali ni sehemu ambayo ina mazingira machafu and thereisnt value for money. Sasa unaposema ni sehemu za ghali ni wapi? Be specific.
Mimi ninamshauri Mzee Shabiby atengeneze migahawa yake. Sasa mkuu wewe unaweza kula migahawa ya kwenye airports kweli wewe...
Ninashauri mleta mada atoe taarifa kamili kwa Mh. Waziri Gwajima ili hili suala lifuatiliwe. Nenda private toa Taarifa kamili, kusema tu kijiji cha Kiparang'anda Mkuranga bado haitoshi kuweza kifuatilia.
Ninafahamu hapigi simu kweli, point yangu ni kwamba inasemekana anashangilia vile kutuma ujumbe kwa waliomfanyia hivyo, ndio nikasema kama anafanya hivyo kweli maana yake bado ana kisasi au chuki moyoni na kama hivyo ndivyo basi ndio maana nimeandika hivyo.
Sasa anampigia ili nini? Anamdai? Kama hamdai na yupo Yanga amesettle si atulie tu aendelee na mambo yake? Afterall ameshafikisha ujumbe kama ni kweli walimfanyia hivyo. Sasa ataendelea kuwapigia hadi lini?
Pia, dunia ni mzunguko. Mkataba unaweza kumalizika Yanga na siku moja Wakakutana na...
Ni afadhali wapaki sehemu ya bei ya juu ila huduma ziwe zinaendana na wanachotoa. Utatumia hela nyingi ila utakula vizuri. Ila pia mabarabarani tunaposafiri chakula ni kati ya Sh. 5,000 hadi 10,000 sasa haya ndio mambo ya kulalamika kwamba bei ni juu kweli???
Naona bundles zimekuwa bei rahisi...
Upo sahihi alichoandika mleta mada ni tofauti na uhalisia.
Shabiby ni gari yenye standard fulani hivi ya juu ila pale wanaposimama Morogoro karibu na Midland Hotel ni pa kichovu sana. Sina uhakika kama Management ya Shabiby huwa wanasimamia kila kitu ninahisi hili wamewaachia madereva na...
Tupo aisee...mimi pia nimekuwa nikitafuta mchumba ili nikipendezwa na tabia yake basi nimuoe. I am a muslim gentleman with 38 yrs. Ni kiongozi katika Serikali hii na katika Taasisi nyeti.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.