Recent content by Mtanzania wa Kesho

  1. M

    Kuongezeka kwa bei ya bidhaa zinazouzwa katika masoko ya vyakula...

    Wafanyabiashara toka Kenya ndio chanzo. Wafanyabiashara toka Kenya wamekuwa wakijipenyeza kwa siri hadi mashambani kwa wakulima na kununua mazao Kama mahindi vitunguu na vyakula vingine kwa bei za juu ambazo huwafanya wafanyabiashara Wa ndani kushindwa kipata bidhaa kwa bei ya kawaida. Hivyo...
  2. M

    Msaada kuhusu Ras Simba

    Aroon unania ya kujua kiingereza?
  3. M

    Nani anafanya Kiswahili kiwe kigumu?

    Wanaofanya kiswahili kuwa kigumu ni walimu wanaofundisha kiswahili Kama Biology..
  4. M

    English learning thread

    Please kokote uliko..andaa Picha passportsize 2 na Tshs 10000. Kisha nenda Maktaba kuu ya mkoa unakoishi..kawaombe ujiunge uanachama Wa maktaba...watakupayia maelekezo mengine.ukishapata uanachama wasiliana nami kwenye hii thread yako...nitakusaidia
  5. M

    How To Recognize Genetically Modified Food In The Shops And Markets?

    Aisee I think it is high time you refrained from buying your veggies and fruits from Supermarkets
  6. M

    How To Recognize Genetically Modified Food In The Shops And Markets?

    Hahaaaa ndugu zangu mnaofakamia apple s mnalo. Ma-apple mazuri yako Njombe na Lushoto...hayo mengine ya madukani ni GMO
  7. M

    Vitabu Vinavyoonesha Majukumu ya Kisheria ya V.E.O na W.E.O

    Wasiliana na Chuo cha Serikali za Mitaa-Hombolo Dodoma contacts zipo kwenye tovuti yao www.Lgti.ac.tz
Back
Top Bottom