Recent content by Mtanzania Ril

  1. M

    Inakuwaje ugonjwa wa Rais haukutangazwa wakati alipokwenda Marekani?

    Eti walificha.sijui walikuwa na maana gani.au ndo mambo yetu yale ya kiswahili,ukisafiri usiage.mkwereee!
  2. M

    Media imehama

    Kwahiyo cku hizi saratani ndio tezi dume?jamani mi simuelewi kabisa mista prezidenti
  3. M

    Mwl.Nyerere Vs Kikwete katka Uteuzi wa Maneno

    Twende kwenye escrow bana.mi mambo ya mkojo mavi hayanihusu.ananichosha tu
  4. M

    Hotuba ya Rais Prof Jakaya Kikwete, Ukumbini Uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere

    Eti ni kansa stage ya pili.mi mbona simuelewi hapa.Kiruuu!
  5. M

    bunge halionyeshwi tusikilize hadithi za rais wodini.

    Na kidonda chake awahi dodoma tu.mana nchi ipo chini ya kichuguu.ni majanga tu.
  6. M

    Hotuba ya Rais Prof Jakaya Kikwete, Ukumbini Uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere

    Mi mwenzio nimeshaelewa kumbe tezi dume si busha au ugonjwa wa madafu.
  7. M

    Hotuba ya Rais Prof Jakaya Kikwete, Ukumbini Uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere

    Khe!kumbe tezi dume si busha?Jk ndio kasema muda huu.kwikwikwiiiiii!
  8. M

    Umejiandikisha kwenye daftari la makazi?

    Mi leo nimechelewa kuingia kazini ili nijiandikishe.nimemchukua hadi house girl wangu.safari hii sitaki mchezo kabisa
  9. M

    Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

    Huwezi kuingia kingi bila kula kete!
  10. M

    Yu wapi Dkt. Masumbuko Lamwai?

    Nimekusoma vizuri mkuu.OVER!
  11. M

    Kwanini CHADEMA haikusimamisha mgombea uenyekiti bunge la katiba?

    Haimaanishi hivyo ndugu.si kila kitu Chadema wanaweka upinzani.wameangalia jinsi Sitta anlivyoendesha vikao vya bunge hapo nyuma.na wakaamini wakimpa nafasi ktk bunge la katiba mambo yataenda vizuri.
Back
Top Bottom