anjo JF-Expert Member Joined Jun 13, 2009 Posts 299 Reaction score 97 Nov 29, 2014 #1 Pamoja na kwamba ni tumefurahi kuwa Rais amerudi salama; nimeona si busara kuhamia uwanja wa ndege bila kujali kinachoendelea Dodoma.
Pamoja na kwamba ni tumefurahi kuwa Rais amerudi salama; nimeona si busara kuhamia uwanja wa ndege bila kujali kinachoendelea Dodoma.
Tetty JF-Expert Member Joined Jan 6, 2012 Posts 26,355 Reaction score 21,422 Nov 29, 2014 #2 Umesahau bahasha za khaki?
M Mtanzania Ril Member Joined Mar 8, 2014 Posts 15 Reaction score 4 Nov 29, 2014 #3 Kwahiyo cku hizi saratani ndio tezi dume?jamani mi simuelewi kabisa mista prezidenti
M Mkundwa Member Joined Mar 7, 2011 Posts 22 Reaction score 13 Nov 29, 2014 #4 jana umeme wamekata, leo tumelazishwa kusikiliza habari ugonjwa. kisa tusijue kinachoendelea bungeni
O otorokoko JF-Expert Member Joined Feb 2, 2012 Posts 2,437 Reaction score 157 Nov 29, 2014 #5 Huyu profesa anatuzingua sisi tunataka kuangaliahatima ya majambazi escrow
P p84 Member Joined Jan 9, 2014 Posts 26 Reaction score 8 Nov 29, 2014 #6 Hivi ni kweli kuwa issue muhimu kwa mustakabali wa taifa sahivi ni rais kuzumngumzia storia ya ugonjwa wake?
Hivi ni kweli kuwa issue muhimu kwa mustakabali wa taifa sahivi ni rais kuzumngumzia storia ya ugonjwa wake?