Hapa bongo upinzani bado sana maana hata wanaoonekana wanamwelekeo wa kuwa wapimzani wa kweli lupia ikipita chali,
Prof alisahau nini uko CUF !?...
Wanavuluga upinzani ili 2020 mkulu apite bila upinzani wa kweli?
Mtoa mada Rais kawajibu watu kama nyie ambao mnapenda kubeza kwani hata kama ukikaa ni sawa sio kuja na mipasho ,Kwani kama rais angeamua kulipuuzia na kuliacha hilo simgechonga ngenga,
Naona bora kuwa kimya kuliko kutuma post za kijinga hivyo, maana post kama hizi hazina maana ,maana kila mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.