Recent content by Mtanganyika Mtanzania

  1. M

    MUNGU nitie nguvu nimalize salama

    hongera sana super woman
  2. M

    Mugabe asweka ndani mashoga hadi washike ujauzito

    huyo anayetetea ushoga hapa, atakua nae analiwa huyo, sio kawaida kabisa, kama sheria inakataza hata wakienda mahakamani ni lazima watahukumiwa adhabu, maana ushahidi upo kwamba walitaka kufunga ndoa!! Sent from my VF685 using JamiiForums mobile app
  3. M

    Waziri Mkuu afuta posho kwa watumishi wa umma nchini

    hii ni kwa halmashauri zote nchini? au ni zile tu zinazoongozwa na upinzani?
  4. M

    Tarime: Tajiri ampiga risasi na kumuua kijana mmoja baada ya kutofautiana kauli

    risasi ya kujihami unapiga miguuni au mahala ambapo hakuna madhara, sasa mtu eti kwa kuwa kashika panga ndio ulenge kichwani? tunafanya hivyo kwa majambazi tu, kunusuru uhai
Back
Top Bottom