Mkuu kwa kuwa watu wote hatuwezi kuwa wanasheria wa Serikali,hii haimanishi kwamba hatuzijui sheria,na pia kuwa mwanasheria mkuu wa Serikali haimaanishi kwamba yeye ndio anazijua sheria kuliko wengine,kama wewe umeamua kumwachia yeye basi usiwashawishi wengine wafuate msimamo wako,acha watu...
Umewahi kujiuliza kwamba bei HALISI ambayo inampa faida(Bei toa gharama za uzalishaji) mkulima anapouza mazao yake ni sh.ngapi kwa kilo? Isije kuwa miaka nenda rudi tumezoea kumuona mkulima ni mtu anakandamizwa tu kwa kutumia gharama kubwa bila kupata faida kila anapofanya uuzaji wa mazao yake...
1.RTO= Region Traffic
Officer( Mkuu wa usalama
barabarani ngazi ya Mkoa)
2.OCD = Officer Commanding in
District( Mkuu wa Polisi
Wilayani)
3.OCS= Officer Commanding in
Station ( Mkuu wa kituo)
4.OC CID= Officer Commanding in
Criminal Investigation Department( Mkuu wa kitengo cha upelelezi...
$50 (mita na cut out) = Tsh 50 × 2,355 = Tsh 117,750.
Ongeza gharama ya waya hapo kulingana na urefu wa eneo husika.
Watu wetu wa Tanesco mngetusaidia sana kama mngekuwa mnaweka mchanganuo wa gharama za kila kitu mnachohitaji kutumia. Mfano, gharama ya waya (wa mm kadhaa) kwa kila mita ni...
Dar- Moro ni 185km. wakati Moro -Dom ni 260Km.Hivyo unaweza kujionea kuwa Dar - Moro ni karibu kuliko Moro -Dom.Barabara mbovu kati ya Dar - Moro na wingi wa magari katika kipande hiki ndo sababu za msingi.
Hii comment nayo ni takataka!.Rais hayuko juu ya Sheria kama kuna mahali amekosea kumpinga sio kosa mkuu.Suala linakuja njia na utaratibu utakaoweza kuutumia kumpinga Rais
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.