Hakuna Sehemu Tulia kakosea alichosema Tulia ndio uhalisia nyingine ni porojo tu, raisi ni mkuu wa nchi, Amiri jeshi mkuu, mkuu wa Serikali na zaidi ni mwenyekiti wa chama, unamlinganisha na CJ au Spika kweli?.
Hawa hazi zao ni sawa na mawaziri tu, kwanza hata shughuli zao za kila siku...
Na haijafikisha hata miaka 15 unasikia sasa hivi kuna BBI kwa kifupi mara nyingi wanaoshinikiza au kupinga kwa katiba mpya ni wanasiasa ambao wengi wao huwa wanalenga kwenye kugawana madaraka mara nyingi huwa wanashughulika na Vipengere vinavyowasaidia kupata madaraka na namna watakavyogawana...
Kipindi yupo Ruge, Kusaga mda mwingi alikuwa Dubai, baada ya Ruge kufariki sasa yupo bongo mara kwa mara kuna majukumu ambayo sasa hivi lazima yeye mwenyewe anatakiwa kuyafanya ambayo enzi za Ruge alikuwa anamaliza mwenyewe, pengine anahitaji mda kidogo kupata mtu anayeweza kubeba majukumu yote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.