Recent content by Mtambo 1272019

  1. Mtambo 1272019

    SoC02 Suluhu mbadala ya ukosefu wa ajira nchini Tanzania

    shu shukrani sana mwamba ,nakaribia
  2. Mtambo 1272019

    SoC02 Matumizi sahihi ya simu janja na intaneti mashuleni hayaepukiki, yaruhusiwe

    WENU MTAMBO1272019 Maana ya simu janja. Ni aina ya rununu ambayo inafanya mambo mengi kuliko simu nyingine ya kawaida,zinzfanya kazi kama tarakililishi,lakini hiki ni chombo kinachobebeka na kidogo cha kutosha katika mkono wa mtumiaji(Andrew Nusca;20 AUGUST,2009). Matumizi ya simu janja...
  3. Mtambo 1272019

    SoC02 Mazingira upataji elimu kwa Wanafunzi wa Kike shuleni yaboreshwe

    Mazingira ya upataji elimu kwa Wanafunzi wa Kike shuleni yaboreshwe Na wenu, Mtambo 1272019 Kwa miaka mingi, tumeshuhudia mtoto wa kike akiachwa nyuma katika suala la upataji wa elimu bora , jambo hili limechochea watoto wa kike kuwia ugumu kupata elimu bora bila vikwazo vingi. Pindi umuonapo...
  4. Mtambo 1272019

    SoC02 Suluhu mbadala ya ukosefu wa ajira nchini Tanzania

    SULUHU MBADALA YA UKOSEFU WA AJIRA NCHINI TANZANIA Maana ya ukosefu wa ajira. Kwa maana ya kawaida na inayoeleweka na wengi. Ukosefu wa ajira humaanisha kitendo au hali ya mtu kukosa au kutokuwa na shughuli(kazi) rasmi ya kumuingizia kipato. Neno “ Ukosefu wa ajira “ imekuwa wimbo wa...
  5. Mtambo 1272019

    SoC02 Usomaji vitabu ni tunu, usipuuzwe

    Maana ya Vitabu. Neno kitabu/vitabu huweza kumaanisha maandishi yaliyoandikwa kwa mkono au mashine au kupigwa chapa katika kitu chochote na yakafunganishwa au kuwekwa kwa taratibu Fulani. Kitabu kina uwezo wa kuwa katika ukubwa wowote kutoka kurasa kumi hadi maelefu.(Mbena : 1972,1).ikumbukwe...
  6. Mtambo 1272019

    SoC02 Uongozi sio umungu mtu

    Dhana ya uongozi katika nchi nyingi za Afrika,imekuwa ikitafsiriwa na kumaanishwa tofauti na dhana halisi. Uongozi umekuwa ukichukuliwa kama daraja la kujitwalia ukwasi(utajiri),utukufu(umungu Mtu) kwa miaka mingi tangia kipindi cha mkoloni hata baada ya uhuru. Dhana hii potofu ya uongozi...
  7. Mtambo 1272019

    Wanaoisema vibaya serikali mitandaoni kukiona

    Aibu kubwa kwa serikali Kama hii na viongozi wake wanatoa hoja kwa mihemko tu. Hawataki kukosolewa kwani wako ni miungu watu au viongozi wetu
  8. Mtambo 1272019

    Mikhail Gorbachev kazikwa kiaibu sana ila yatamrudia Putin

    Putin anafanya na anasimamia anachokiamini,sio mnafiki kabisa,haweza uzuria kinafiki kwenye msiba wa aliye sababisha ukomunist kudondoka,hawezi kabisa,kumbuka ya kuwa Putin na ukomunist ni Damu Damu. So Mimi sioni kukuacha wafu wazikane
  9. Mtambo 1272019

    SoC02 Kesho ya Afrika ipo katika mtandao

    Wazo Bora Sana,. Ili afrika tujinasue kwenye utumwa wa kiuchumi na kisiasa,lazima mipaka hii ilyowekwa na wakoloniniondolewe na isiwe kikwazo kwa ustawi wa maendeleo ya ya waafrika
  10. Mtambo 1272019

    SoC02 Haja ya kutumia lugha ya Kiswahili kufundishia na kujifunzia katika nyanja zote za elimu nchini Tanzania

    Shukrani Sana ,but pongezi pia andiko lenu Lina muono pevu na chanya kwa afrika mpya
  11. Mtambo 1272019

    SoC02 Haja ya kutumia lugha ya Kiswahili kufundishia na kujifunzia katika nyanja zote za elimu nchini Tanzania

    Wenu Mtambo Mtoka mbali utangulizi. Makala haya imeandikwa kwa kuzingatia tafiti mbalimbali zilizofanywa na wanazuoni,tume ya makweta (1982),taasisi ya haki elimu (2008),tamko la waziri mkuchika (2010), na mjadala unaoendelea saizi nchini kwetu juu ya lugha ya kufundishia na kujifunzia...
  12. Mtambo 1272019

    SoC01 Mtanzania yeyote, hata asiye na Elimu ni muhimu ajifunze lugha ya Kiingereza

    Rejea chapisho langu, linaloitwa 'haja ya kutumia lugha ya kiswahili katika kujifunzia na kufundishia" nadhani majibu sahihi utayapata ambayo yameenda sambamba na tafiti zilizofanywa na wataalamu. Lkn ngoja nimuulize muandishi,je china, urusi,Korea,ujerumani,japani na nchi nyingi zilzoendelea...
  13. Mtambo 1272019

    Soma hapa kabla ya kuchapisha andiko lako katika Jukwaa la Stories of Change

    Kwenye vigezo na masharti umekataza" plagiarism " je, acknowledgment ya wataalamu waliwahi jadili hoja husika inaruhusiwa? Kwasababu mawazo mapya kabisa ni machache na Mara nyingne hamna, Bali tunaboresha kwa tathmini na uchunguzi wa wa sasa
Back
Top Bottom