Recent content by MtamaMchungu

  1. MtamaMchungu

    DP World kuanza mchakato wa kuajiri, Wafanyakazi wa TPA wadaiwa kutakiwa kuchagua kwenda DPW au kubaki TPA

    Ndio uwe na hiyo akili ya kutumia pesa vizuri.... wengi tunawajua walipewa hayo mamilioni na wamechezea
  2. MtamaMchungu

    DP World kuanza mchakato wa kuajiri, Wafanyakazi wa TPA wadaiwa kutakiwa kuchagua kwenda DPW au kubaki TPA

    Unatoka kwenye permanent and pensionable unakwenda kwenye mikataba ya miaka 2 au 3 huko
  3. MtamaMchungu

    Rais Museveni amteua mwanae Muhoozi Kainerugaba kuwa CDF

    Uongozi uliopatikana kwa bunduki hautolewi kwa karatasi!
  4. MtamaMchungu

    Zitto Kabwe: Rais Samia alipaswa kutangaza kifo cha Hayati Magufuli akiwa ameshaapishwa, kitendo Cha Wakuu wa Ulinzi kuwa Watoa Taarifa ni hatari!

    WTF kweli kweli.... Hata sielewi sequence of events ingekuwaje. Aambiwe Makamu kuwa the boss has died, aapishwe awe Rais, halafu anatangaza msiba wa nani? Former president?
  5. MtamaMchungu

    Waziri Mchengerwa: Nilipewa bajeti ya dola laki 5 ili kununua basi moja la mwendokasi

    Tatizo hao waliopeleka hiyo "bajeti" bado wako ofisini! Fukuza na ijulikane wamefukuzwa kwa uzembe wa kulinda mali ya umma
  6. MtamaMchungu

    Be Forward wamekuwa wajanja na waongo, magari yanaletwa mabovu

    Singapore hawana utaratibu mzuri kwenye used kama ilivyo Japan. Agiza huko at your risk
  7. MtamaMchungu

    Madai ya Janeth Shayo, Mkazi wa Uru, Moshi, kutosikilizwa

    Mheshimiwa tunakushukuru kwa kufanya engagement na watanzania, mkumbushe Nape Nauye awe anafanya engagement na Watanzania
  8. MtamaMchungu

    Kwako Mkurugenzi mpya wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART): Katatue changamoto zifuatazo…

    Shida kubwa ni idadi ya mabasi. Mengine yanavumilika!
  9. MtamaMchungu

    Mikoa 15 Inayoongoza Kuchangia Kodi za TRA Tanzania

    Tuongelee uwiano.... kiasi gani kinakusanywa vs kiasi gani kinatumika hapa Dar
Back
Top Bottom