Recent content by MtamaMchungu

  1. MtamaMchungu

    JamiiForums Tanzania Sefu Musa adaiwa kuawa na askari baada ya kutuhumiwa kuwa mjangili Ngorongoro

    Wanaopewa bunduki ni serikali ni kama wana magonjwa ya akili.... Shoot first ask later!
  2. MtamaMchungu

    JamiiForums Tanzania Chifu utajuaje kama malkia wako umemridhisha na wewe malkia utajuaje kama chifu ameridhika?

    Nimewaambia humu, akifika utajua tu😂😂
  3. MtamaMchungu

    JamiiForums Tanzania Chifu utajuaje kama malkia wako umemridhisha na wewe malkia utajuaje kama chifu ameridhika?

    Ukiona huhajua ujue hajafika 😂😂
  4. MtamaMchungu

    JamiiForums Tanzania Chifu utajuaje kama malkia wako umemridhisha na wewe malkia utajuaje kama chifu ameridhika?

    Mwanamke akifika utajua tu 😂 😂 😂
  5. MtamaMchungu

    JamiiForums Tanzania Lissu alivyomkaanga Mpelelezi Mkuu wa kesi yake

    Kabla hujapanda kizimbani uwe umekula vya kutosha... sukari inaweza ikakata
  6. MtamaMchungu

    JamiiForums Tanzania Kijana David Nkindikwa adaiwa kutoweka kwenye mazingira ya kutatanisha

    Ashapewa kesi ya Ugaidi huko!
  7. MtamaMchungu

    JamiiForums Tanzania Mabadiliko Kanuni BoT (GN No. 206, 2026) kuruhusu Wawekezaji wa Kigeni kununua Hati Fungani: Fursa au Mtego wa Kifedha kwa Tanzania?

    Ngoja tuone impact kwenye taasisi zinawekeza huku kama NSSF na PSSSF.
  8. MtamaMchungu

    JamiiForums Tanzania Mabadiliko Kanuni BoT (GN No. 206, 2026) kuruhusu Wawekezaji wa Kigeni kununua Hati Fungani: Fursa au Mtego wa Kifedha kwa Tanzania?

    Juzi kwenye 25yrs bond, tsh 100 imekopwa kwa tsh 113, ushindani ni mkubwa hata hivi sana... Wakija na hao wageni sijui itakuwaje
  9. MtamaMchungu

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Wazanzibar wote tulishikana katika Uchaguzi, ndio maana ikapandisha ushindi hadi 97%

    Huyu maza anataka tuseme maneno magumu tuanze kutafutwa!
  10. MtamaMchungu

    JamiiForums Tanzania Tanzania–Uganda MoU ya Tanga: Tusichanganye “energy hub” na “refinery imekubaliwa kujengwa”

    Nakumbuka kelele za bandani ya Trilioni 22 ya Bagamoyo... mpaka leo bado ni kelele
  11. MtamaMchungu

    JamiiForums Tanzania Ndio hivyo tena, tumeikosa. Dangote

    Naona Bi Mkubwa amesaini na hao Vitol energy
  12. MtamaMchungu

    JamiiForums Tanzania Waziri Mkuu wa Kosovo arushiwa mayai bungeni

    Hapa unahoji PHD za wakubwa unapotea!
  13. MtamaMchungu

    JamiiForums Tanzania Mwabukusi: Mbeya Sio Jiji ni Mkusanyiko wa Vijiji Vikubwa. Haina Miundombinu na Mzunguko wa Pesa ni Mdogo

    Aliyeacha kutoa hela ni serikali gani?
  14. MtamaMchungu

    JamiiForums Tanzania Paul Kadushi hakupaswa kuwepo katika Tume ya Jaji Lila. Alihusika na makesi ya hovyo dhidi ya Chadema ktk awamu ya 5

    Hakuna siku CCM watatenda haki kwa Watanzania
  15. MtamaMchungu

    JamiiForums Tanzania Kalapina ampondea Sugu

    Tamasha la CCM 😂😂😂
Back
Top Bottom