Recent content by MtamaMchungu

  1. MtamaMchungu

    JamiiForums Tanzania Diwani Athumani amewekwa detention?

    Ametulia zake TunguTungu.... hana neno na mtu
  2. MtamaMchungu

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aulizwa “Utafanya nini kukabiliana na vikwazo, Tanzania ikifanya biashara na Urusi”. Yeye ajibu “Hatuna Vikwazo vyovyote”

    Kuchamba kwa kiingereza sio mchezo 😂 😂 😂
  3. MtamaMchungu

    JamiiForums Tanzania Kigogo wa NRM Agro Limited na wenzie 10; Mahakamani kwa makosa ya dawa za kulevya

    Itoshe kusema, biashara zina siri nyingi sana. Unashangaa mtu ana car wash ila mambo yake mazuri 😂 😂 😂 Fungua na wewe sasa
  4. MtamaMchungu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Baada ya kuona mke wake corporate feminist lady kakomea watoto wawili, katafuta mchepuko form 4 kafyatua watoto wanne, ni sawa ?

    Mkuu kuna nchi hapa duniani kuoa wake wengi ni kosa kisheria!
  5. MtamaMchungu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Baada ya kuona mke wake corporate feminist lady kakomea watoto wawili, katafuta mchepuko form 4 kafyatua watoto wanne, ni sawa ?

    Aliyeleta propaganda za mke mmoja, alileta janga kubwa sana
  6. MtamaMchungu

    JamiiForums Tanzania Nifanye nini ili niwe tajiri number 1 duniani?

    Ondoka Africa kwanza... Nchi nzima uchumi wa USD 95Bil... huwezi kufika utajiri wa USD 250Bil
  7. MtamaMchungu

    JamiiForums Tanzania Ukifanikiwa punguza kelele kula kimya kimya, Dogo mmoja wa Twitter huko X sasa hivi wamemfelisha

    Inasemekana alichokoza siasa makusudi ili awekwe ndani kukimbia madeni...
  8. MtamaMchungu

    JamiiForums Tanzania Kiongozi mkuu wa CHADEMA akisema chama hakitashiriki tena uchaguzi 2030, mtafanyaje wana CHADEMA?

    Kikifa unapata hasara gani? Chama cha siasa sio chakula au pumzi
  9. MtamaMchungu

    JamiiForums Tanzania Kiongozi mkuu wa CHADEMA akisema chama hakitashiriki tena uchaguzi 2030, mtafanyaje wana CHADEMA?

    Uongozi unawekwa kwa utaratibu na unatolewa kwa utaratibu. Mtu akiona hana imani na maamuzi ya viongozi achukue hatua, tatizo letu Watanzania tunapenda majungu; Act or Shut up
  10. MtamaMchungu

    JamiiForums Tanzania Kiongozi mkuu wa CHADEMA akisema chama hakitashiriki tena uchaguzi 2030, mtafanyaje wana CHADEMA?

    Mwenye hoja inayokubalika na wengi anasikilizwa... ukiona viongozi hawaeleweki, kuna mambo kadhaa unaweza fanya; 1. Shawishi watu wengi wawatoe, ugombee wewe; 2. Hamia chama kingine 3. Anzisha chama chako Hilo la 3 alifanya Zitto
  11. MtamaMchungu

    JamiiForums Tanzania Kuna jamaa yangu amechanganyikiwa baada ya kukosa ajira za ualimu

    Hiki kikombe Mungu akuepushe
  12. MtamaMchungu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimeumia sana. Kaniomba Laki moja aliniambia mama yake ni mgonjwa ila nimemkuta baa na mwanaume mwingine

    Pole sana... siku nyingine omba control number 😂 😂 😂 😂 pesa akale Abduli
Back
Top Bottom