Recent content by MtamaMchungu

  1. MtamaMchungu

    Israel yadai kumuua Kamanda wa Iran, Alireza Tangsiri aliyetoa agizo la kufungwa kwa mfereji wa Hormuz

    Stratergy ya Israel inachekesha... Kama kumuua Ayatollah mwenyewe hakujaleta mabadiliko yoyote, wanadhani kufa kwa huyu jamaa ndio kutaleta mabadiliko
  2. MtamaMchungu

    Kenya yaidhinisha matumizi ya Sindano ya Lenacapavir kama Kinga ya Maambukizi ya VVU

    Dawa ya UKIMWI inaweza isije kupatikana.... Kinga kama hizi zikisambaa vya kutosha, baada ya Miaka 50 UKIMWI unaweza kuwa historia
  3. MtamaMchungu

    Kifo ni kifo tu isiwe kauli ya kuwahukumu wanaCCM wote.

    Kifo ni Kifo tu..... unataka kubishana na Rais wako
  4. MtamaMchungu

    Haika Lawere wa 'Mbezi Garden' apewa Talaka

    Ndoa nyingi zimekufa zamani za kale, watu wanaishi kusogeza siku
  5. MtamaMchungu

    Umeondoka TBC na mabilioni, vipande 40 vya fedha ukawasaliti Watanzania, lakini hukumu ya HAKI ya Mungu inakusubiri

    Sasa akili zitarudi... muda si mrefu ataanza ku-make sense
  6. MtamaMchungu

    Kafulila: Tumemkataa mbia barabara ya kulipia Kibaha -Chalinze kwa maslahi mapana ya nchi yetu

    Hivi mifuko yetu PSSSF na NSSF haiwezi kuungana kujenga hii barabara. Au ndio mapesa yote wanapeleka kwenye Bond za serikali
  7. MtamaMchungu

    Claude ni chat bot nzuri kuliko ChatGpt, ni swala la muda tu

    Claude kwa professional ni better tool.
  8. MtamaMchungu

    Muislamu akifa kwenye Jihad ni furaha kwake

    Wangapi wamekufa hivyo wakaja kukupa habari?
  9. MtamaMchungu

    Kutofautisha mchemsho na supu ni utapeli mkubwa uliobuniwa na wauza chakula

    Supu haitakiwi kuwa na mbwembwe... chumvi tu... Ukianza kuweka viazi, ndizi, hoho, karoti, kitunguu etc huo unakuwa mchemsho sasa
  10. MtamaMchungu

    Ommy Fitness: Kukimbia ni zoezi baya sana lisilofaa kufanywa. Halina msaada

    Atulee kwanza mkimbiaji wa marathoni kibonge halafu tutamletea nyoka mwenye miguu
  11. MtamaMchungu

    From Ukonga Prison: Ikulu ilituma ujumbe mwingine kumtaka mwamba akubali "msamaha" wa Mama. Tundu Lissu akataa, amwambia afute kesi kwa kuwa ni uongo

    Mama hapa aliingia mkenge... wamakonde wanasema "ukisimama mshale, ukikaa mshale" Kesi ni kubumba, kushinda hawawezi Kumuacha wanaona aibu, chuma hakitaki ushirikiano na mashetani.
  12. MtamaMchungu

    Iran imerudi enzi za Ujima: Hawana Air-Force hawana Navy na hawana Mifumo ya ulinzi wa anga

    My mama never raised fools, that must be scarce in your family
Back
Top Bottom