Uongozi unawekwa kwa utaratibu na unatolewa kwa utaratibu. Mtu akiona hana imani na maamuzi ya viongozi achukue hatua, tatizo letu Watanzania tunapenda majungu; Act or Shut up
Mwenye hoja inayokubalika na wengi anasikilizwa... ukiona viongozi hawaeleweki, kuna mambo kadhaa unaweza fanya;
1. Shawishi watu wengi wawatoe, ugombee wewe;
2. Hamia chama kingine
3. Anzisha chama chako
Hilo la 3 alifanya Zitto
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.