Recent content by mtakavyote

  1. mtakavyote

    Matunda kwa afya ya Macho

    Naamini lengo lilikuwa zuri ila hujaonyesha ubobevu wa mada husika mkuu
  2. mtakavyote

    Ni sawa kuvaa condom baada ya kunyonyana

    Faida za uvaaji wa condom wakati wa tendo la ndoa ni nyingi ikiwemo; ni njia ya uzazi wa mpango, kuzuia maambukizi ya magonjwa ya zinaa pamoja na magonjwa mengine yanayoambukizwa kwa maji maji ya mwili. Nikirejea swali lako, ukishiriki mapenzi kwa njia ya mdomo (kunyonyana) kuna hatari (risk) ya...
  3. mtakavyote

    Je mbumbujiko wa maji kulia kufuani upande wa kushoto ni tatizo ?

    Kwa maelezo yako, kama hakuambatani na dalili nyingine zozote ni kawaida tu mkuu
  4. mtakavyote

    Nasumbuliwa na tatizo la genital warts

    Ziko tiba mbalimbali ikiwemo 1. Kuchoma kwa baridi (cryotherapy) ambayo inapatikana baadhi ya hospitali kitengo cha magonjwa ya ngozi, 2. Dawa za kupaka zinazochoma hivyo vifundofundo ila kuna maelekezo maalum ya kufuata na inachukua muda kiasi kwenye matibabu yake. Kwa ushauri, nenda hospitali...
  5. mtakavyote

    Inaumiza sana: Dada kaolewa bila mahari, yaani kizembe tu

    Jamaa hakulia lakini alivomvalisha pete?
  6. mtakavyote

    Tatizo ni nini Wadada katika hili??

    Demu akinikubalia tu tunaenda nje akakojoe kwny udongo
  7. mtakavyote

    Eti hapa kuna ukweli wowote kwamba.............

    hahaha daah, hizi imani potofu mnazipataga wapi.. smh. Wacha niendelee kushuhulikia kumleta Tupac bongo
  8. mtakavyote

    Punyeto ni nini na nini madhara yake?

    nenda hospital mkuu, ushauri gani mwingine unahitaji?
  9. mtakavyote

    Mauki unavyotufanyia wanaume wenye ndoa sio Fresh.

    Mkuu umesema vizuri sana, yule bwana yuko pale apate kula. Hatakosa cha kuongea wanawake zetu inabd wafaham hilo
  10. mtakavyote

    Msaada kuhusu kutoka kwa hedhi

    Mkuu sababu za kupungua kwa damu ya hedhi zipo nyingi ikiwemo maradhi ya mwili, msongo wa mawazo, safari au kubadili mazingira kwa haraka, upungufu wa madini ya chuma mwilini, baadhi ya njia za uzazi wa mpango n.k. Wasiliana na mwenzio kuchunguza zaidi Sent using Jamii Forums mobile app
  11. mtakavyote

    NAHITAJI DAGAA WA KIGOMA

    Shukrani sana mkuu
  12. mtakavyote

    NAHITAJI DAGAA WA KIGOMA

    Hawa dagaa wa kigoma wanauzwa bei gani apo Kigoma wakuu? Sent using Jamii Forums mobile app
  13. mtakavyote

    Msaada wa Tiba au Mbinu za Kuzuia Kigugumizi

    Jitahidi uwe unaongea taratibu, kama umri wako bado ni mdogo kigugumizi huweza kuisha chenyewe au waweza muona speech therapist kwa msaada zaidi
  14. mtakavyote

    Ongezeko hili la upasuaji wakati wa kujifungua linasababishwa na nini?

    Ni kweli kwamba kiwango cha wanawake kujifungua kwa njia ya operation kimeongezeka miaka hii ya karibuni. labda nianze kwa kueleza kuwa operation ya kumtoa mtoto yaani "Cesarean section" inaweza kufanyika kutokana na sababu mbalimbali yaani "indications" kwa lugha ya kitaalam. Hizi sababu zipo...
Back
Top Bottom