Wewe unaongelea mkutano gani?mim nlikuwepo Bariad mkutanoni wakat Maguful akimwita chenge SHUJAA wa mabadiliko na hakutaja khs mahakama ya mafisadi anayoihubiri kwingne
acha upotoshaji wa kwenye viblog
Leo Jp Magufuli atakua viwanja vya Halmashauri Bariadi jimboni kwa Andrew Chenge,jambo kubwa linasubiriwa ni namna atakavyomnadi Mtemi Chenge kw sababu kila anapopita JP anasema atapambana na wanaotajwa kua mafisadi
nitawaletea kila kitu hapa
Baada ya sherehe ya kuagana na JK Karibia wasanii wote nguli leo wamejitokeza kumsapoti Magufuli kupitia kurasa zao kwenye mitandao ya kijamii,comments za mashabiki wao zimenifurahsha sana na moja wapo ni kua sasa watanunua CD feki za kaz zao ili kuwajibu
Wasanii litazameni hili
CCM wasijadanganye kutegemea kura za kanda ya ziwa,haziwez kuwa nyng kama za chaguz za nyuma...kwa ninachokiona hapa viwanja vya Furahisha Mwanza..mambo ni magumu,Kanda ya ziwa wamebadilika wanataka mageuzi
,Mamlaka ya mawasiliano Tanzania chini ya mwongozo kwa vyombo vya habari,inasema vyombo vya habari havitaruhusiwa kutangaza tafiti za kukubalika ama kutokubalika kwa vyama ama wagombea zikibaki siku 30 kabla ya siku ya kupiga kura!hivyo Kutoa matokeo ya utafiti wa nani anaongoza kuelekea...
Huku tukiendelea kusubiri ile meli aliyoahd JK kabla hajatoka madarakan, JP Maguful ameibuka na ahad ya kutoa laptop kwa waalimu wote Tanzania ambao had sasa wanaidai serikali madai yao lukuki
Washaur wa Maguful mshaurin atulie abak na msimamo wake wa kusubir ilan ya chama kwa sababu ahad za...
Huku tukiendelea kusubiri ile meli aliyoahd JK kabla hajatoka madarakan, JP Maguful ameibuka na ahad ya kutoa laptop kwa waalimu wote Tanzania ambao had sasa wanaidai serikali madai yao lukuki
Washaur wa Maguful mshaurin atulie abak na msimamo wake wa kusubir ilan ya chama kwa sababu ahad za...
Kila ninapomsikia Magufuli akisema Sitawaangusha nabaki kucheka tu.
Sote tunajua Magufuli anataka kuwa rais kwa 'ajali' tu..hana dira wala maono ya kiongozi mkuu wa nchi zaidi ya kusubiri ilani ya CCM kama anavyosema kila siku.Kwa kukosa dira binafsi ni wazi atatuangusha tu kwa sababu HAKUJIANDAA.
Wakazi wa Kanda ya Ziwa tunakumbuka sana juhudi za Edward Lowassa alivyofanikisha kutuletea maji kutoka ziwa Victoria baada ya kilio cha muda mrefu, tutatoa shukrani zetu kwake tarehe 25 Oktoba.
Ziara yake ukanda huu yatakua mafuriko zaidi ya Dar,Karibu shujaa wetu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.