Recent content by Mtafuta kiki

  1. M

    Uzi maalum wa kutafuta mchumba. Weka Wasifu wako hapa upate wa kuanza naye maisha (njoo tuishi/tuyajenge)

    Umri:31 makazi: Singida Dini: mkristo(RC) Jinsia:Ke Kabila:muhehe Mtoto: 1 ninaemtaka: uwe matured' unaweza kutambulishika kokote, unajielewa, unajiamin, elimu kuanzia degree, kwa details nyingn nitafute PM 😏
  2. M

    VACANCY: Specialized Content Developers (SCD)

    Asante..hii inanifaa sana..kwakua mm ni mwalimu na ni mdau mzuri wa elimu nnapenda kuona sector hii inafanya vema... Nitatuma application naamini ntafanikiwa kufanya kazi na jamii forum home of great thinkers
  3. M

    Mhariri wa kitabu

    Ni kitabu cha nini..hadith au?
  4. M

    Njoo tutengeneze ajira za walimu hapa

    Kwa walimu wa dar tutafutane tuanzishe kituo jaman...mimi nna idea kama hii pia..kwa alie serious anicheki..taratibu za kusajiri kituo Nacte nazifahamu Kwa walio serious tu... Email yangu: ndanzi32@gmail.com
  5. M

    VACANCY: Specialized Content Developers (SCD)

    katika izo target sector..mfano mwalimu mnaitaji awe na Experience ya mda gan?
  6. M

    Question, for both male and female

    So hata kwa matendo.tu mshana jr Sometimes wanaume wanakua wagumu kueleza hisia zao....na wengn uwa waoga au kua na impression tofauti juu ya mwanamke hata kama anampenda anaweza fikili she is out of his league...so mwanamke akiamua kufinguka si mbaya ...ila uwiii ukitolewa nje aibuuuuuu :-)
  7. M

    Natafuta kazi ya kufundisha chuo cha ualimu

    Hehe, we kaka mshari sana kwakweli...ila anyway kama unaona sina vgezo piga kimya Wanaojua system ya elimu wanaelewa how it works...and by the way hyo pgde nmemaliza mwaka jana nkawa nafundisha chuo...huku nasoma MEM M.A. education management nmemaliza course work imebaki research...siku add izo...
  8. M

    Natafuta kazi ya kufundisha chuo cha ualimu

    nkanga chief Soma tangazo utaelewa...acha kukurupuka mkuu...hujui chochote na tena unajibu kwa gadhabu kama ugomvi
  9. M

    Naomba kujuzwa, midadi ni nini?

    Midadi ni hali involuntary act..inamtokea mtu anapoangalia act mfano kwny tv anajikuta na yy anaimitate au anaiga kile anachokiona... Jaman tuwe serious mtu anapoiliza jambo nyinyi mwaleta mzaha :-[:-[
  10. M

    Kitu gani unachokumbuka ambacho mama yako alikuonya ukiwa mtoto na mpaka leo hukisahau?

    Mama aliniambia mwanaume sio ndugu yako...dont owe them..usikubali msaada ambao unaweza jisaidia mwnyewe..
  11. M

    Natafuta kazi ya kufundisha chuo cha ualimu

    Jamani mimi ni mwalimu natafuta kazi ya kufundisha kwenye vyuo vya ualimu diploma au certificate, nna bachelor ya literature na post graduate ya ualimu Nna experience ya kufundisha ya mwaka mmoja. Wale wenye vyuo vya ualimu na wanaojuana wapi wanahitaji mwalimu naomba wanipm kwa mawasiliano...
  12. M

    Deputy chief of party

    10 years experience..daahh!!
  13. M

    Kwanini MD ya University Of Dar es Salaam imeachwa?

    Hehe, yan point umeilewa ukaamua uanze kucorrect spelling mistakes [emoji2] ...we bisha kataa ndo hivyo lakini...nmegraduate pale chuo chenu mnakiita chuo mama...hakuna jipya nliloliona..tena nmepata gpa kubwa ambayo hata undergraduate sikuipata..alafu mdai kufaulu udsm ni kazi. Wakati mitihani...
Back
Top Bottom