Mtafuta kiki
Member
- Jun 3, 2016
- 76
- 34
Mie nishawahi kuchomoa, ila nafurahia n kuwaheshim sana wanawake wa aina hyo..Mwanamke pia ana moyo.....
Kinachonifurahisha ni mara chache mnooo mwanaume atongozwe na mwanamke afu achomoe, mara chache mnooo
It's sexy and I love it.
And it's a definite plus if the girl is drop dead gorgeous.
Haya mambo ya kizungu tuwaachie wenyewe, kwakuwa sasa wamachumbiana na kuwowana watu wa jinsia moja
Jacky Mzindakaya?
So hata kwa matendo.tu mshana jrHaya mambo ya kizungu tuwaachie wenyewe, kwakuwa sasa wamachumbiana na kuwowana watu wa jinsia moja
Siwezi hata siku moja mwanamke anifungukie halafu nimtose, dhambi iliyoje...Huu ni mfupa katika mifupa yangu na nyama katika nyama zangu....kumtosa mwanamke ni kujikataaSo hata kwa matendo.tu mshana jr
Sometimes wanaume wanakua wagumu kueleza hisia zao....na wengn uwa waoga au kua na impression tofauti juu ya mwanamke hata kama anampenda anaweza fikili she is out of his league...so mwanamke akiamua kufinguka si mbaya
...ila uwiii ukitolewa nje aibuuuuuu
Hongera mie sijawahi kuchomolewaMie nishawahi kuchomoa, ila nafurahia n kuwaheshim sana wanawake wa aina hyo..
Hahaa.. Yategemea na njemba uliyekutana nae na hali halisiHongera mie sijawahi kuchomolewa
The secret is to continue being a lady even when stuff gets rough and tough. Even when the guy is out of her league. Some women end up losing a guy they are interested in,not because they made the first move,but because they made it the wrong way.So hata kwa matendo.tu mshana jr
Sometimes wanaume wanakua wagumu kueleza hisia zao....na wengn uwa waoga au kua na impression tofauti juu ya mwanamke hata kama anampenda anaweza fikili she is out of his league...so mwanamke akiamua kufinguka si mbaya
...ila uwiii ukitolewa nje aibuuuuuu