Nimesoma kuna ubishani hapa juu ya mchungwa wa miaka mitatu unauwezo wa kuzaa matunda kiasi gani?
Naomba kuongeza maswali hapo, je mchungwa huo mmoja kwa mwaka unazaa mara ngapi? na hizo numbers mnazotaja ni kwa mwaka mzima au kwa msimu kama unazaa zaidi ya mara moja kwa mwaka?
Mimi nina...
Rejea swali mzee, ni vigezo gani huwa vinaangaliwa vinavyopelekea serikali iprint pesa?
Tunashukuru umetupa athari za kuprint pesa bila kufuata utaratibu.
Habari wana jamvi?
Natumai mu wazima wa afya.
Leo nina swali ambalo naamini likijibiwa hapa nitakuwa nimefumbuliwa macho ya fikra, pia watu wengi watakuwa wamefumbuliwa.
Swali: Ni vigezo gani huwa vinaangaliwa mpaka Serikali inaprintiwa pesa?
Kwa nini wasprint nyingi tukalipa madeni ya nje...
Naomba kuuliza jamani nini tatizo?
Uwanja ambao ulikuwa tishio kwa timu pinzani, yaani timu ilikuwa ikienda Old Trafford basi tumbo joto kwa mashabiki wa timu hiyo, cha kushangaza leo umegeuka shamba la bibi.
Mechi nne alizocheza Man U katika EPL msimu huu 2020/2021 kaambulia pointi moja...
kuna dawa inaitwa Femicare inasaidia kukinga na kutibu
1. miwasho sehemu za siri
2. fangasi sehemu za siri.
3. UTI sugu
4. kutokwa na uchafu sehemu za siri.
5. kutokwa na harufu mbaya sehemu za siri.
nipigie au nitumie sms kupitia 0657317631 nikusaidie uipate.
pole sana kwa tatizo hili kuna sabuni inaitwa ANATIC HERBAL ESSENCE SOAP ni kiboko ya hilo tatizo na matatizo mengi ya ngozi. waweza kunitafuta kwa namba 0657317631 nikuelekeze kwa kuipata.
pole sana mkuu.
kuna products za kampuni inatwa BF SUMA ni nzuri sana kwa matatizo yote uliyoyataja hapo. UTI na MGONGO.
nicheck kwa 0657 317631 nikuelekeze jinsi ya kuzipata.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.