Kwahiyo umekutana nae kwenye Gari then unategemea yupo single au vipi,,,nawewe ulikuwa hauna MTU KBS ,,,vumilia komaa nawewe ili amuache huyo mkaguzi Mkuu Wa mahesabu jijini
Ukitaka tukusaidie kukupa ushaur sema kila kitu kwa usawa ,,,,,hawezi kuwa chizi akurupuke tu na kuvunja kiooo,,,,acha ubwege Wewe rudi home mapema,,,siku nyingine atakuvunja pumbu
Pia binafsi kardinali sijafurahia kuwa eti wazanzibar muungano ukifa watajiunga na OIC kwanini alisemee hili kiiihivo kuna niñi ndani yake anachokitazama,,, je na Sisi waislam inaonekana hatuna haki ,, coz ni ruksa kujiunga na Vatican na kuwa na balozi wake hapa Nchini au vipi ,,, Hii Hoja...
Sasa matusi au lugha za kejeli ktk mambo ya msingi sidhani km yanaleta Tija kiivo,, we inaonekana hujui chochote ,, anyway nadhani ni vema kujua kwamba kwanini watu hawataki muungano na sidhani coz kuna mambo mengi hayaendi sawai,, lkn pia kadinali anawasi wasi kuwa eti watajiunga na OIC ye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.