Ni Kweli Kabisaa Hilo Ndilo Chimbuko La Sheikh Ponda Issa Ponda Kuandamwa Na Vyombo Vya Dora!! Lkn SWALI, Hivi Kama Hili Suala Halina Mkono Wa BAKWATA, Ambao Ndio Walitoa Maagizo Ya Kumdhibiti Sheikh Ponda, Kutokana Na Kusimamia Kwake Kwa Dhati Mali Za Waislam, Ili Ziweze KULETA Maendeleo Kwa Jumuiya Nzima Ya Waislam Na Dini Yao!! Badala Ya Kutumiwa Na BAADHI Ya Viongozi Wa BAKWATA Kwa Maslahi Yao BINAFSI!! Najiuliza Hivi DPP ANAWEZA Vipi KUZUIA DHAMANA Ya Sheikh Ponda!! Kwa Zaidi Ya Mwaka Mzima, Huku BAKWATA WAMEKAA Kimyaa!!! Kama Lenyewe Ndilo Baraza Kuu La Waislam Wa Tanzania!!! Iweje Sheikh Ambaye ANAYESEMA UKWELI Na Kuwatia Hamasa Waislam Wenziwe Kudai Mali Zao Zilizoporwa, Anakamatwa Na Waumini Wenziwe Na Kufunguliwa Mashitaka Ya Wizi, Wa Nondo, Kokoto, Matofali, Mchanga, Mbao, Mabati Na Misumari!! Na Kunyimwa DHAMANA Pale Mahakama Ya Kisutu!! Hadi Hukumu Ilipotoka Sheikh Ponda Akafungwa Kifungo Cha Nje Mwaka 1 Na Waumini Wengine Cha GEREZANI!! Wkt. Sheikh Ponda AKIENDELEA Na Kifungo CHAKE!! Ndio Yakazuka Hayo Ya Moro!! Eti Anashitakiwa Kwa Kukiuka Masharti Ya Hukumu Ya Mahakama Ya Kisutu!! Na KUFANYA Mkutano Usio Na Kibali, Kusema Maneno Ya UCHOCHEZI Na Yenye Kuudhi Watu Wengine!! Tukashuhudia Sheikh Ponda Akisafirishwa Kwa CHOPA Toka SEGEREA Mahabusu, Kwenda MAHAKAMANI Moro, Mara IKAWA Kwa Msafara Wa Magari!! Hatimaye Mahakama Ya Kisutu Akalitupa Shitaka La Kukiuka Masharti Ya Hukumu Ya Kifungo Cha Nje, Iliyotolewa Nayo!! Imebakia Hayo Ya Moro!! Ndio Akahamishiwa Mahabusu Ya Moro HADI Leo, Ambapo Ndio Tarehe Ya Hukumu Yake!!! Kama BAKWATA Haina Mkono Ktk. Kadhia Hii, Mbona Wako Kimyaa!!!?? Je, TAASISI Hiyo Sio Ya Waislam Na Mali Zao!!!??? Je, BAKWATA Iko Kwa Maslahi Ya Waislam Wa Aina GANI TANZANIA!!!?? Nini Kifanyike, Kwanza Waislam Wa TANZANIA Tudai Baraza La Waislam Wa TANZANIA Lenye MFUMO Ambao Linashirikisha Waislam WOOTE, Taasisi Zoooote, Jumuiya Zoooote Na Madhehebu Yooote!! Pili Kuundwa Kwa Baraza Lenye Sura, Malengo, Fikra, Mtazamo Na UMOJA! Kwa Kuwashirikisha Waislam WOOTE NCHINI, Ktk. Mchakato Wa Undwaji Wake Na Kupatikana Viongozi Wake!! SIO KAMA ILIVYO Sasa, WATU WACHACHE Ndio Wanaamua Na Kusimamia Mambo Ya Waislam WOOTE NCHINI!! Tatu Waislam Tuache UNAFIKI, Huu Ndio Unaotutafuna Jmn! HIVI Madhira YOTE Haya, Tokea Miaka Ya 90 Pale Wahadhiri Wa Kiislam Walipofungwa Miaka 3 GEREZANI Kwa Mashitaka Ya Kuvunjwa Mabucha Ya Nyama Ya Nguruwe!! Ambao Wakikamatwa Pale Msikiti Wa Mwembechai, Akiwepo Na Sheikh Mazinge Shaban! Baadae Wakaachiwa Kwa Msamaha Wa Rais MWINYI!! Lkn Likifika Suala La Uchaguzi Wa Viongozi, Tunaonekana Kuyumbishwa Na Maslahi YETU BINAFSI Badala Ya WOOTE!!! Kama TUTAENDELEA Kuwa WANAFIKI Tu, Basi Tukubali Tu Kudhurumiwa Na Kunyanyasika MILELE!!!!!