Recent content by mswangajr2010

  1. M

    Mabalozi wote walio nje ya nchi kurudishwa

    Yes kuna jipu la kike liko pale Tanzania house pretoria south afrika,ni balaa ,anajiskia...kiswahil pia hakijui vizur wala jiografia ya tz...hivi vigezo vya kuwa barozi au wasaidiz wa mabaroz ni vp...nahis sio mtz yule....she z cute though....
  2. M

    Anaehitaji Nissan Xtail

    awe insuma sana
  3. M

    Nimefanya Maamuzi Sahihi na Makini Niliyoahidi Takribani Saa 72 zilizopita, Naelekea ....

    Hongera ben,sina hakika kama ulikaa kimya ili act waendelee kukupaisha...lakin cku nyingine kanusha uvum haraka.weka jimbo wazi,mbona mm nimeweka wazi jimbo la nkasi kusin .
  4. M

    Wafanyabiashara wa Dar to South

    acheni kukatisha watu tamaa,binafs nimesafiri moja kwa moja kutoka dar mpaka harare kwa sh 120,000 na kutoka harare mpaka joberg kwa randi 300.zaid ya mara tano kwa taqwa,pia nimeunga unga dar tunduma sh 40,000 mpakan unatoa naul ya nn.tunduma na nakonde unatoa naul ipi.pia gest mpaka ten zipo...
  5. M

    Dr. Mwakyembe kukubali serikali mbili alikana kitabu chake mwenyewe

    Hivi huyu mwakyembe ndie mwandishi wa riwaya ya " pepo ya mwabwege"?
  6. M

    Kikwete, humkomoi Mengi bali unaikomoa CCM

    To me this is a post of the day,bravo whoever posted this,bravo bravo!
  7. M

    Utafiti Mpya ni Lowassa tena, Pinda wa pili

    Lowasa hata ndani ya ccm hawez toboa,achilia mbali akipambanishwa na slaa,nionavyo mimi,lawasa akigombea urais na akapambana na halima mdee bado halima atampita ,mbali sana.
  8. M

    Uchaguzi Serikali za Mitaa 2014: Matokeo kutoka nchi nzima (TZ Bara)

    Nataman kujua matokeo ya katav kwa mzee wa kulia na arfi wake.
  9. M

    Picha: Msafara wa Prof. Safari watinga Petersburg

    Hahaaaaaa,nicheke mie,mtu akikosa cha kusema akae kimya tu.sio dhambi,yaaani mmetoka kusema chama cha kaskazini,chama cha didini/ kikristo sasa ,mnaanza kushambulia personalities za watu? Kweli safari hii mmeshikwa nyeti.
  10. M

    CCM imebanwa mbavu, CHADEMA yakubalika vijijini kuliko hata mijini

    Hujanikera,safi sana.tutaheshimiana tu mwaka huu.viva cdm
  11. M

    ACT-Tanzania kutoshiriki uchaguzi serikali za mitaa

    Hahaaaaa,safi sana.act ni chama cha kwenye wallet sio mfukoni,afadhali mfukoni.
  12. M

    CCM waleta vurugu kwenye Kongamano la taasisi ya Mwl/Nyerere, Makonda ahusishwa kumpiga Warioba

    watumie watu mia mbili hii picha ya makonda na ujumbe wa alichofanya...utakuwa umesogeza dakika za ukombozi jirani.
  13. M

    CCM waleta vurugu kwenye Kongamano la taasisi ya Mwl/Nyerere, Makonda ahusishwa kumpiga Warioba

    pole kwa mzee wetu,lakini kuanzia sasa ccm ndio basi.......itabaki historia....ccm planted seeds for its own destruction,watoto wetu wakakuwa wanaulizwa swali hili miaka ijayo katika civics na g.s.viva ukawa,viva mzee warioba,viva wote ,mnaoamini katika mabadiliko.
Back
Top Bottom