Recent content by msumarika

  1. M

    Dr Molel azidi kuipasua CCM jimbo la Siha

    Siasa za kibongo shida sn
  2. M

    TRA kumchunguza Askofu Kakobe baada ya kumsikia akisema ana hela kuliko Serikali

    Kesi ya askofu kakobe na TRA itakavyokuwa mahakamani. WAKILI---- Shahidi wewe ni afisa wa TRA? SHAHIDI ---Ndiyo. WAKILI---Ni kitu gani kilifanya muanze kufuatilia ulipaji kodi wa askofu kakobe? SHAHIDI---Tulianza kufuatilia ulipaji kodi wa kakobe siku ile aliposema ana pesa kuliko serikali...
  3. M

    Saidi Maulid Mtulia atangaza kugombea tena jimbo lake la Kinondoni kwa tiketi ya CCM

    Daaa hawa wana siasa wa namna hii kamwe huwezi kuwaamini, unaitia hasara serikali ya kugharamia uchaguzi mwingine kwa fedha za walipa kodi kwa kujiuzuru kwako mwenyewe binafsi hlf tena Leo hii unataka kugombea jimbo hilo hilo,ingekuwa Kenya mawakili wameshaenda kuweka pingamizi mahakamani
  4. M

    Sheria ya Uchaguzi ni mbovu! Kuendelea kuitumia sio Ujinga? Kuwabebesha masikini gharama za Uchaguzi sio Dhambi?

    Lakini wakati mwingine lzm nasi wananchi tufikiri vzr mtu anaamua yy mwenyewe binafsi kujiuzuru uanachama kwenye chama chake na ubunge sio kwamba amefukuzwa na chama hlf tena mtu huyo huyo anaenda kugombea kupitia chama kingine.Huu ni ujinga uliopitiliza watunga Sera wetu walione hili...
  5. M

    Mtazamo wa kiuhandisi: Interchange ya Ubungo vs Jengo la PPF (TANESCO)

    Andiko lako ni zuri ila watumie na Wizara husika
  6. M

    Another BossLady in the House, Hodiii

    Uko vzr Bosslady naona ubora wa Mwenyezi Mungu katika uumbaji Sent using Jamii Forums mobile app
  7. M

    DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

    Jambo hili nila kusikitisha kwa kweli.Kwa mwenendo huu kazi ipo Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom